Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,403
Rais Magufuli ametangaza siku 3 za maombolezo ya Kitaifa kufuatia kifo cha Baba wa Taifa na aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Robert Gabriel Mugabe kilichotokea leo Nchini Singapore
Katika siku hizo tatu za maombolezo zinazoanza leo Septemba 06 hadi Septemba 08, 2019 bendera ya Taifa itapepea nusu mlingoti
Leo asubuhi Rais Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, familia ya Robert Mugabe, Wananchi wa Zimbabwe, Waafrika na wote walioguswa na msiba
Aidha, Rais Magufuli amesema Robert Mugabe aliipenda Tanzania, alijenga uhusiano na ushirikiano wa karibu, kindugu na kirafiki tangu enzi za uongozi wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere
Katika siku hizo tatu za maombolezo zinazoanza leo Septemba 06 hadi Septemba 08, 2019 bendera ya Taifa itapepea nusu mlingoti
Leo asubuhi Rais Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, familia ya Robert Mugabe, Wananchi wa Zimbabwe, Waafrika na wote walioguswa na msiba
Aidha, Rais Magufuli amesema Robert Mugabe aliipenda Tanzania, alijenga uhusiano na ushirikiano wa karibu, kindugu na kirafiki tangu enzi za uongozi wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere