Mtu mwenye roho ya korosho halafu awe dikteta! Ni lazima tutasoma sana namba. Nawashangaa sana baadhi ya watanzania wanaomsifia huyu bwana mkubwa na itikadi zake za kufungia pesa akidhani zitaongezeka.
Ajui chochote kuhusu uchumi angebakia kwenye kuhesabu kilometers za barabara ndo kwake. Ajuae uchumi hawezi somesha watu no na kuwakomoa matajiri.