OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,206
- 103,775
Nasema haya kwa hasira kali sana juu ya unafiki na ujinga unapendelea nchi hii.
Nasema haya huku nchi ikiwa na mihimili miwili tu ya serikali&bunge na mahakama
Nasema haya huku kukiwa na kundi kubwa linaloendeshwa na mihemko na lisilo na mda wa kutafakari kwa kina,kundi CCM
Nasema haya huku kukiwa na kundi kubwa linaloamini kuwa Magufuli yupo juu ya katiba na lolote analosema ni sawa,hata kama wao hawalikubali.
Nasema haya huku watanzania wengi wakiwa wanaamini anachokifanya Magufuli sio wajibu wake bali ni hiyari au hisani
Nasema haya nchi ikiwa imebakiwa na watu jasiri mfano wa Tundu Lissu, wawili au watatu
Nasema haya huku viongozi watangulizi wakiwa ni watuhumiwa wakubwa wa ufisadi.
Nasema haya baada ya kumsikia rais mstaafu mwenyewe kuheshimiwa sana Ali Hasan Mwinyi akipendekeza Rais Magufuli aongezewe mda ikibidi atawale milele
Ni dhahiri sasa Magufuli atatumia ujinga wetu kujiongezea mda na wala hatahitaji nguvu kubwa,ni hizi hizi kiki za makinikia na Escrow zimeshafanikisha hilo. Kura itapigwa na Magufuli atajiongezea mda kwa mujibu wa katiba
Hongera Magufuli
Nasema haya huku nchi ikiwa na mihimili miwili tu ya serikali&bunge na mahakama
Nasema haya huku kukiwa na kundi kubwa linaloendeshwa na mihemko na lisilo na mda wa kutafakari kwa kina,kundi CCM
Nasema haya huku kukiwa na kundi kubwa linaloamini kuwa Magufuli yupo juu ya katiba na lolote analosema ni sawa,hata kama wao hawalikubali.
Nasema haya huku watanzania wengi wakiwa wanaamini anachokifanya Magufuli sio wajibu wake bali ni hiyari au hisani
Nasema haya nchi ikiwa imebakiwa na watu jasiri mfano wa Tundu Lissu, wawili au watatu
Nasema haya huku viongozi watangulizi wakiwa ni watuhumiwa wakubwa wa ufisadi.
Nasema haya baada ya kumsikia rais mstaafu mwenyewe kuheshimiwa sana Ali Hasan Mwinyi akipendekeza Rais Magufuli aongezewe mda ikibidi atawale milele
Ni dhahiri sasa Magufuli atatumia ujinga wetu kujiongezea mda na wala hatahitaji nguvu kubwa,ni hizi hizi kiki za makinikia na Escrow zimeshafanikisha hilo. Kura itapigwa na Magufuli atajiongezea mda kwa mujibu wa katiba
Hongera Magufuli