Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Kagame no 2
Nasema haya kwa hasira kali sana juu ya unafiki na ujinga unapendelea nchi hii.
Nasema haya huku nchi ikiwa na mihimili miwili tu ya serikali&bunge na mahakama
Nasema haya huku kukiwa na kundi kubwa linaloendeshwa na mihemko na lisilo na mda wa kutafakari kwa kina,kundi CCM
Nasema haya huku kukiwa na kundi kubwa linaloamini kuwa Magufuli yupo juu ya katiba na lolote analosema ni sawa,hata kama wao hawalikubali.
Nasema haya huku watanzania wengi wakiwa wanaamini anachokifanya Magufuli sio wajibu wake bali ni hiyari au hisani
Nasema haya nchi ikiwa imebakiwa na watu jasiri mfano wa Tundu Lissu, wawili au watatu
Nasema haya huku viongozi watangulizi wakiwa ni watuhumiwa wakubwa wa ufisadi.
Nasema haya baada ya kumsikia rais mstaafu mwenyewe kuheshimiwa sana Ali Hasan Mwinyi akipendekeza Rais Magufuli aongezewe mda ikibidi atawale milele
Ni dhahiri sasa Magufuli atatumia ujinga wetu kujiongezea mda na wala hatahitaji nguvu kubwa,ni hizi hizi kiki za makinikia na Escrow zimeshafanikisha hilo. Kura itapigwa na Magufuli atajiongezea mda kwa mujibu wa katiba
Hongera Magufuli
ilo liko wazi kabsa mkuu
6ndege wafananao huruka pamoja
tulijua tu toka alipoanza urafiki na PK and Co
yeye kasema atagombea hiyo miaka yenu au nyie ni waathirika wa hofu zenu??
Inaudhi mkuu,mambo haya tulikuwa tukiyasoma tu kwenye Vitabu huko Rwanda,Uganda na Zimbabwe,sasa hatimaye tunaenda kuyaishiYani kila nkifikiria hili swala napata mawazo naamua kulala tu
Mkuu wanamsifu Sasa lakini badaye wao wenyewe wataaanza kukanyaganawacha sisi tubaki watazamaji ingawa matokeo tunayajua.
Haya mkuu..huwezi jua, inawezekana utabiri wako ukawa sawaMkuu Mungu atujaalie umri tufike 2025
Mkuu msamehe bure,umri wa mtu ukiwa mkubwa akili nazo huyeyukaKauli ya Rais mstaafu Mwinyi imelidhalilisha Taifa na nafsi yake.
Tunasema haya tukiwa na tumejazwa na kuona nuru mbele yetu.Kwa miaka 30 hatukuwa na Kiongozi wa nchi anayetambua wajibu wake sawa sawa.
Tunasema haya ya kumuomba Magufuli afikirie na aone umuhimu wa kuendelea kuisaidia nchi baada ya muda wake kumalizika hadi hapo atakapopatikana kiongozi atakayeweza vaa viatu vya Magufuli.
Tunasema mambo haya hadharani bila kificho kuanzia sasa kuwa sisi wengine ni wapinzani wa mambo ya hovyo ya CCM kwa muda mrefu lakini kwa anayoyafanya Magufuli tuko naye na tutamhitaji tena kwa muda mrefu sana ikiwa atakuwa Nazo nguvu za kiakili na kimwili.
Tunasema mambo haya ya kumuongezea Magufuli muda kwa sababu utendaji kazi wake mzuri hauwezi kuwa out-weighed na Katiba.
Tunasema mambo haya mchana kweupe kwamba Katiba ipo ili itusaidie kupata viongozi wema na wenye kujua na kufahamu shibe zetu.
Binafsi hata akileta neema ya " kufa MTU" aondoke tu.Yeye kama binadamu kama binadamu yeyote( aliyezaliwa,akakua na atakufa) sioni sababu ya kumwendekeza.Mkuu hatukatai hata akitawala miaka 200 sio shida kwani sio wote tunapenda kuwa marais. Ila tunahoji unafuu ni upi katika maisha yetu mpaka tutake atawale zaidi ya miaka 5 na iwapo atafanikiwa basi atawale 5 mingine ya mwisho? Hayo madini mpaka sasa hatujaona mafanikio zaidi ya kulianzisha. Ilibidi tusubiri tuone matokeo chanya ya maisha yetu hapo ndio tufikirie hilo mnalotaka nyie. Nakupa mfano mdogo tu. Kabla ya yeye kuingia madarakani alikuta sukari ni 1,800-2,000@kg. Akalianzisha kama alivyolianzisha sasa kwenye madini, matokea ya vurugu ile sukari sasa imepanda mpaka 3,000@kg na amekaa kimya!! Sasa kama suala hilo dogo tu liko hapo tukimuongezea miaka zaidi ya 10 si ndio tutanunua sukari 50,000@kg. Ile 50m kila kijiji sasa hivi wala haiongelewi tena.
Ni kipi kimekuwa nafuu ambacho tunaweza kweli kutembea kifua mbele kwamba sasa kweli tunajivunia? Ni kweli kuanza kufuatilia hao mafisadi wa mali zetu ni jambo jema. Je hiyo pekee italeta unafuu kwenye maisha yetu au ni yeye atapata sifa binafsi na kwa sasa anataka sifa hiyo pia chama chake kizipate. Ilibidi tusubiri wangalau akiwa amefikisha miaka 8 madarakani hapo tungeweza kuwa kwenye nafasi ya kutaka aongezewe muda.
Acha kupiga ramli chonganishi wewe.Nasema haya kwa hasira kali sana juu ya unafiki na ujinga unapendelea nchi hii.
Nasema haya huku nchi ikiwa na mihimili miwili tu ya serikali&bunge na mahakama
Nasema haya huku kukiwa na kundi kubwa linaloendeshwa na mihemko na lisilo na mda wa kutafakari kwa kina,kundi CCM
Nasema haya huku kukiwa na kundi kubwa linaloamini kuwa Magufuli yupo juu ya katiba na lolote analosema ni sawa,hata kama wao hawalikubali.
Nasema haya huku watanzania wengi wakiwa wanaamini anachokifanya Magufuli sio wajibu wake bali ni hiyari au hisani
Nasema haya nchi ikiwa imebakiwa na watu jasiri mfano wa Tundu Lissu, wawili au watatu
Nasema haya huku viongozi watangulizi wakiwa ni watuhumiwa wakubwa wa ufisadi.
Nasema haya baada ya kumsikia rais mstaafu mwenyewe kuheshimiwa sana Ali Hasan Mwinyi akipendekeza Rais Magufuli aongezewe mda ikibidi atawale milele
Ni dhahiri sasa Magufuli atatumia ujinga wetu kujiongezea mda na wala hatahitaji nguvu kubwa,ni hizi hizi kiki za makinikia na Escrow zimeshafanikisha hilo. Kura itapigwa na Magufuli atajiongezea mda kwa mujibu wa katiba
Hongera Magufuli
Hata hyo neema hawezi kuileta na huo uwezo hana, kiongozi mzuri huonekana mapema kwa kufata katiba na kutenda haki madictator wengi huwa hawana maono hasa wa kiafrica zaidi ya ubinafsi wa kujaza tumbo zaoBinafsi hata akileta neema ya " kufa MTU" aondoke tu.Yeye kama binadamu kama binadamu yeyote( aliyezaliwa,akakua na atakufa) sioni sababu ya kumwendekeza.
Lazima atoke na hakuna ujinga wa kuongezewa!
Yeye hajasema kama atagombea, lakini huoni trend ya watu wanaotaka aongezewe muda? Inapofikia mpaka rais mstaafu anatamka hilo hadharani unategemea nini? Juzi pia tumeona waziri mkuu mstaafu Joseph Warioba akiongoza maandamo, na waandamanaji wale wakataka pia muda wa rais kuongezewa muda.
Pia nashukuru kwamba umeona hoja yangu ya unafuu wa maisha, na kwa ustadi fulani umekwepa hata kuongelea hilo la bei ya sukari. Nilitarajia angekataza hiyo hali ya watu kutaka yeye aongezewe muda ili hao wenye viherehere waache. Mbona mengine yanayomkera au asiyokubaliana nayo anapinga hapohapo?
Duh! HatariNasema haya kwa hasira kali sana juu ya unafiki na ujinga unapendelea nchi hii.
Nasema haya huku nchi ikiwa na mihimili miwili tu ya serikali&bunge na mahakama
Nasema haya huku kukiwa na kundi kubwa linaloendeshwa na mihemko na lisilo na mda wa kutafakari kwa kina,kundi CCM
Nasema haya huku kukiwa na kundi kubwa linaloamini kuwa Magufuli yupo juu ya katiba na lolote analosema ni sawa,hata kama wao hawalikubali.
Nasema haya huku watanzania wengi wakiwa wanaamini anachokifanya Magufuli sio wajibu wake bali ni hiyari au hisani
Nasema haya nchi ikiwa imebakiwa na watu jasiri mfano wa Tundu Lissu, wawili au watatu
Nasema haya huku viongozi watangulizi wakiwa ni watuhumiwa wakubwa wa ufisadi.
Nasema haya baada ya kumsikia rais mstaafu mwenyewe kuheshimiwa sana Ali Hasan Mwinyi akipendekeza Rais Magufuli aongezewe mda ikibidi atawale milele
Ni dhahiri sasa Magufuli atatumia ujinga wetu kujiongezea mda na wala hatahitaji nguvu kubwa,ni hizi hizi kiki za makinikia na Escrow zimeshafanikisha hilo. Kura itapigwa na Magufuli atajiongezea mda kwa mujibu wa katiba
Hongera Magufuli
Lisu kama jasiri, amkosoe Mbowe kama kweli mwanaume, kama yeye atetei tumbo Lake, mangapi Chadema chini ya Mbowe yapo shabagharaNasema haya nchi ikiwa imebakiwa na watu jasiri mfano wa Tundu Lissu, wawili au watatu