technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Rais Magufuli bwana nimemuona anashangilia bao la Yanga hata kama yeye ni Simba na kavaa jezi ya Yanga nimeipanda hayo ndio mambo tunataka kuliunganisha taifa.
Hajavaa Jezi ya Yanga, bali kavaa jezi ya mchanganyikoMagu bwana nimemuona anashangilia bao la yanga ata kama yeye ni simba na kavaa jezi ya yanga nimeipanda ayo ndio mambo tunataka kuliunganisha taifa.
Ngapi ngapi?Magu bwana nimemuona anashangilia bao la yanga ata kama yeye ni simba na kavaa jezi ya yanga nimeipanda ayo ndio mambo tunataka kuliunganisha taifa.
Huyu ni yanga live.Magu bwana nimemuona anashangilia bao la yanga ata kama yeye ni simba na kavaa jezi ya yanga nimeipanda ayo ndio mambo tunataka kuliunganisha taifa.
Yanga 1:0 SimbaNgapi ngapi?
Huyu ni yanga live.
Huoni alivyo na roho mbaya
usiamini kila kinachotoka kwenye kinywa cha mwanasiasa. mwanasiasa anaweza kuku convince nyeusi uone ni nyeupe.Magu bwana nimemuona anashangilia bao la yanga ata kama yeye ni simba na kavaa jezi ya yanga nimeipanda ayo ndio mambo tunataka kuliunganisha taifa.
Magu bwana nimemuona anashangilia bao la yanga ata kama yeye ni simba na kavaa jezi ya yanga nimeipanda ayo ndio mambo tunataka kuliunganisha taifa.
Hapa anaongelewa rais hakuna aliye ongelea nani atashindaTulia wewe 2nd half tunawala vichwa buroo
Ngapi ngapi?
Huyu ni yanga live.
Huoni alivyo na roho mbaya