Rais Magufuli asema Serikali haitolipa deni la Manispaa ya Temeke kwa CRDB, amwambia Mbunge watalibeba wenyewe

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Rais John Magufuli leo amemwambia Mbunge wa Temeke kuwa Serikali haitatoa fedha kulipa deni la miaka ya nyuma ya Manispaa hiyo kwa Benki ya CRDB

Dkt. Magufuli ametoa kauli hiyo baada ya Mbunge Dorothy Kilave kuomba Serikali kusaidia kulipa deni lililobaki la Bilioni 12.195. Manispaa hiyo ilikopa Bilioni 19 ili kuwalipa wakazi waliobomolewa makazi yao

Amesema, "Tuna Manispaa ngapi? Tuna Halmashauri ngapi? Zikawe zinafanya mamikopo yao kule ya ovyo na wizi, Serikali inakuja kulipa! Hilo msahau, ninyi mtalibeba wenyewe"

Aidha, Rais Magufuli ameagiza TAKUKURU kuchunguza mkopo huo akisema anaona kuna ufisadi unaelea

886AEF76-F068-4E91-A50F-66C1EE977BF5.jpeg
8E786512-71B5-4B62-ABEC-9D41C5F50189.jpeg
 
Miradi ilikuwa ya manispaa au serikali kuu inayosimamiwa na serikali kuu? Msimamizi hiyo miradi alikuwa nani labda? Nyie manispaa waambieni wakazi wa Temeke hiyo miradi ilikuwa chini ya nani?
 
Kuna mtu anaitwa Edward Haule...(aliyefokewa na DC hivi karibuni) yeye huyu kila kitu alikuwa anafanya kama mali yake. Kama hukuelewana nae kabla kwenye fidia alikuwa hakulipi kitu. Amekuwa kama Mungu mtu pale DMDP. Kila mtu anashangaa kuendelea kuwa pale. Yeye hakuwa mratibu lkn kajivalisha uratibu na kupiga vita waratibu wote waliokuwa wanakwenda pale. Hizo fidia wananchi wanalalamika hazikufanyika kama ilivyotakiwa. Wengi walikuwa wanakubaliana nae (rushwa) ili walipwe.
 
Rais John Magufuli leo amemwambia Mbunge wa Temeke kuwa Serikali haitatoa fedha kulipa deni la miaka ya nyuma ya Manispaa hiyo kwa Benki ya CRDB.

Dkt. Magufuli ametoa kauli hiyo baada ya Mbunge huyo kuomba Serikali kusaidia kulipa deni lililobaki la Bilioni 12. 195. Manispaa hiyo ilikopa Bilioni 19 ili kuwalipa wakazi waliobomolewa makazi yao.

Amesema, "Tuna Manispaa ngapi? Tuna Halmashauri ngapi? Zikawe zinafanya mamikopo yao kule ya ovyo na wizi, Serikali inakuja kulipa! Hilo msahau, ninyi mtalibeba wenyewe".

Amemshukuru Mbunge huyo kwa kuliweka wazi suala hilo akisema Serikali inachoweza kufanya ni kutuma wachunguzi ili kubaini kama kweli majengo yaliyojengwa yana thamani ya deni hilo akisema pananukia ufisadi
Hehehehehe
 
Rais John Magufuli leo amemwambia Mbunge wa Temeke kuwa Serikali haitatoa fedha kulipa deni la miaka ya nyuma ya Manispaa hiyo kwa Benki ya CRDB.

Dkt. Magufuli ametoa kauli hiyo baada ya Mbunge huyo kuomba Serikali kusaidia kulipa deni lililobaki la Bilioni 12. 195. Manispaa hiyo ilikopa Bilioni 19 ili kuwalipa wakazi waliobomolewa makazi yao.

Amesema, "Tuna Manispaa ngapi? Tuna Halmashauri ngapi? Zikawe zinafanya mamikopo yao kule ya ovyo na wizi, Serikali inakuja kulipa! Hilo msahau, ninyi mtalibeba wenyewe".

Amemshukuru Mbunge huyo kwa kuliweka wazi suala hilo akisema Serikali inachoweza kufanya ni kutuma wachunguzi ili kubaini kama kweli majengo yaliyojengwa yana thamani ya deni hilo akisema pananukia ufisadi
Dawa ya deni ni kulipa, sasa CRDB tafuteni madalali, pigeni matangazo ya mnada kila kona ,uzeni Manispaa ya Temeke mpate fedha zenu. Wanunuzi wapo
 
Rais John Magufuli leo amemwambia Mbunge wa Temeke kuwa Serikali haitatoa fedha kulipa deni la miaka ya nyuma ya Manispaa hiyo kwa Benki ya CRDB

Dkt. Magufuli ametoa kauli hiyo baada ya Mbunge Dorothy Kilave kuomba Serikali kusaidia kulipa deni lililobaki la Bilioni 12.195. Manispaa hiyo ilikopa Bilioni 19 ili kuwalipa wakazi waliobomolewa makazi yao

Amesema, "Tuna Manispaa ngapi? Tuna Halmashauri ngapi? Zikawe zinafanya mamikopo yao kule ya ovyo na wizi, Serikali inakuja kulipa! Hilo msahau, ninyi mtalibeba wenyewe"

Aidha, Rais Magufuli ameagiza TAKUKURU kuchunguza mkopo huo akisema anaona kuna ufisadi unaelea
Yes ndio uzuri wa JPM!
Anawashukia mafisadi kama mwewe!
 
Rais John Magufuli leo amemwambia Mbunge wa Temeke kuwa Serikali haitatoa fedha kulipa deni la miaka ya nyuma ya Manispaa hiyo kwa Benki ya CRDB

Dkt. Magufuli ametoa kauli hiyo baada ya Mbunge Dorothy Kilave kuomba Serikali kusaidia kulipa deni lililobaki la Bilioni 12.195. Manispaa hiyo ilikopa Bilioni 19 ili kuwalipa wakazi waliobomolewa makazi yao

Amesema, "Tuna Manispaa ngapi? Tuna Halmashauri ngapi? Zikawe zinafanya mamikopo yao kule ya ovyo na wizi, Serikali inakuja kulipa! Hilo msahau, ninyi mtalibeba wenyewe"

Aidha, Rais Magufuli ameagiza TAKUKURU kuchunguza mkopo huo akisema anaona kuna ufisadi unaelea
Manispaa karibu zote zina mikopobya kifisadi waliyokopa kutoka kwenye mabank ya kibiashara mfano Manispaa ya Morogoro, Arusha jiji, ilala, kinondoni, mbeya jiji, moshi manispaa, kahama Manispaa, . Wakurugenzi wa hizo Halmashauri pia wahojiwe, Rais hapo utagundua Halmashauri zetu zina wapigaji,
 
Ndiyo mkuu!! Wachache Sana ambao Bado hawajakuelewa Hadi huu muda,

Wapinzani hawana Meno tena, Maana zamani walikuwa na Meno Kwa sababu aliyekuwa aking'atwa hakuwa anapata Maumivu, aking'atwa Leo kuhusu lugumi, Kesho tena Lichimondi, keshokutwa meremeta n.k

Kwa sasa watang'ata wapi
 
Kuna mtu anaitwa Edward Haule...(aliyefokewa na DC hivi karibuni) yeye huyu kila kitu alikuwa anafanya kama mali yake. Kama hukuelewana nae kabla kwenye fidia alikuwa hakulipi kitu. Amekuwa kama Mungu mtu pale DMDP. Kila mtu anashangaa kuendelea kuwa pale. Yeye hakuwa mratibu lkn kajivalisha uratibu na kupiga vita waratibu wote waliokuwa wanakwenda pale. Hizo fidia wananchi wanalalamika hazikufanyika kama ilivyotakiwa. Wengi walikuwa wanakubaliana nae (rushwa) ili walipwe.
Kumekucha Salama
Tayari Kitumbua Kimeanguka Kwenye Mchanga Changamoto Ni Namna Ya Kukila
 
Back
Top Bottom