HEKIMA KWANZA
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 2,942
- 3,935
UNGANISHA DOTS
-------------------------
Jaji Mkuu wa Kenya - Maraga leo ameenda kanisa la wasabato - central church Nairobi na kusema aombewe.
Rais Magufuli leo ameenda kanisa la wasabato - Magomeni (lenye hadhi sawa na central church)
Jaji Maraga ndiye aliyeongoza jopo la kutengua ushindi wa Uhuru Kenyatta aliyekuwa haungwi mkono na Rais Magufuli.
Mnataka kubadili tena gia angani, au ndio ajira ili mradi mkono uende mdomoni?