Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Mtakumbuka jaji huyu alipata mgawo wa Escrow kiasi cha tsh 404.2m kutoka kwa Rugemalira.
Je, ameusoma mchezo kuwa hapo mbeleni anaweza kuingia matatani kutokana na sakata la kupokea fedha chafu?
Naona kaamua kustaafu mapema na kuchukua kiinua mgongo chake.
Je, ameusoma mchezo kuwa hapo mbeleni anaweza kuingia matatani kutokana na sakata la kupokea fedha chafu?
Naona kaamua kustaafu mapema na kuchukua kiinua mgongo chake.