Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
Kwahiyo angekataa?
Angemtuma afisa wa ikulu kupokea.
Kwahiyo angekataa?
Kusema na kuwa tajiri ni vitu viwili tofauti.
Kwahiyo unataka usaidiwe matatizo yako yote kwa mara moja?
Msaada hutakiwi kuuliza km ni kidogo huko ni kukosa shukrani.Mtu yeyote anayefikiria mambo katika "extremes" peke yake hana uwezo mzuri wa kufikiria na mara nyingi ni semi-literate (semi-literate kwa kuwa angalau unajua kusoma na kuandika). Kwani nikikuomba kela ya kula ukanipa nikasema mbona unanipa kidogo ina maana nataka unipe mamilioni? Kasome uelimike ujue kufikiria "out of the box".
Kwa hadhi ya Rais sawa kabisa. Malori ya taka ni saizi ya TAMISEMI kwa Mh Jafo.Kuwait wamekosea kumpa rais badala ya tamisemi?
Kupewa ni bure, kukopeshwa ni kulipa pamoja na riba juu. Ni kanuni ndogo ya biashara haihitaji shule kubwa kivile.Ukikopeshwa hupewi?
UbungoMeya wa wapi?
OkeyKuna ubaya gani?