GedsellianTz
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 1,343
- 1,787
Sakata la madawa ya kulevya linazidi kushika kasi kwa mkoa wa dar se salaam, swali langu ni je mikoa mingine hakuna watu walioathirika na madawa, ni kwanini isiwe vita ya Tanzania nzima kutokomeza madawa haya kuliko kutokomeza sehemu moja tu wakati sehemu nyingine mambo yanaendelea?
Napenda kuwaasa wakuu wa mikoa kuiga mfano wa RC wa dar na kuanza mara moja kupigana na hii vita kwa kil mkoa.
Napenda kuwaasa wakuu wa mikoa kuiga mfano wa RC wa dar na kuanza mara moja kupigana na hii vita kwa kil mkoa.