Rais Magufuli anavyofananishwa na Nyerere, Lumumba

Utendaji upi huo? Kufukuza watu kazini bila kupewa nafasi ya kujitetea ndio utendaji? Kila mtu anapaswa kujua kwamba mfanyakazi mmoja anategemewa na kundi kubwa sana la watu. Kuanzia kijijini hadi majirani achilia mbali familia. Mtu anafukuzwa kazi simply kwa sababu alikuwa anasubiri taasisi ifanye marekebisho ya mshahara wake kama ilivyokubalika akijariwa halafu unamfukuza kwa madai ya kukataa mshahara. Matokeo yake ni kuleta umaskini kwa huyo mhusika na wategemezi wake wote. Huo ndio utendaji alokuwa nao Nyerere?
Viongozi wa dini ni wapiga porojo tu mara wajiite manabii, sijui upako nonsense.
 
Viongozi wa dini siku hizi wapi kama wamepoteza uelekeo.Kazi kujikomba kwa watawala kwa sababu wamesamehewa kodi.Katika biblia sijaona sehemu Nabii Daniel anamsifu nebukadreza.Hata Masihi hakuwahi kumsifia herode au pilato.Je hawa ndio wale manabii wa uongo au tungoje wengine.
Mkuu hao ndiyo haswaaa manabii wa uongo wanaojali matumbo yao
 
Kweli kabisa Magufuli na Nyerere ni sawa
Wote Nyerere na Magufuli wametufanya watz tuamke asubuhi mno kujipanga mstari kununua sukari

Hawa ni viongozi bora kabisa kupata kuongoza Tanzania
Yaaani sukari kwa watanzania leo imekuwa ni anasa
 
Yaaani sukari kwa watanzania leo imekuwa ni anasa
Kyela tulikuwa tunategemea 100% sukari ya Malawi,alipokurupuka bila hata research yyt ile kuona nguvu ya soko(Demand vs Supply) sasa tunaunga peremende kwenye uji wa watoto kabla hawajaenda shule!

Nakumbuka wakti wa Nyerere na uji wa Yanga taifa lilipotoka vitani Uganda!Lkn at least wafuasi wa Nyerereism wanaweza sema hali ilikuwa mbaya sababu ya cost ya vita na Amin!Hivi Magufulism watatuambia nn kuhusu kuadimika kwa bidhaa muhimu sukari ktk karne ya 21?
 
Kyela tulikuwa tunategemea 100% sukari ya Malawi,alipokurupuka bila hata research yyt ile kuona nguvu ya soko(Demand vs Supply) sasa tunaunga peremende kwenye uji wa watoto kabla hawajaenda shule!

Nakumbuka wakti wa Nyerere na uji wa Yanga taifa lilipotoka vitani Uganda!Lkn at least wafuasi wa Nyerereism wanaweza sema hali ilikuwa mbaya sababu ya cost ya vita na Amin!Hivi Magufulism watatuambia nn kuhusu kuadimika kwa bidhaa muhimu sukari ktk karne ya 21?
Kwa mujibu wa wana lumumba sukari siyo bidhaa muhimu....kwao ni sawa na soda tu
 
Mimi siwezi kumfanananisha na kiongozi mwingine nachunga ulimi wangu nisijepelekwa mahakamani na kupigwa mvua tatu au kutoa Corolla moja (7 MILLION)
 
Back
Top Bottom