Rais Magufuli anaeleza matatizo ya Afrika, wengi wanafurahia. Sikiliza habari toka Camerron

Mkuu una maanisha ni Bora tukose wote? Ninachojua Mimi ni kwamba hao uliowaja happy juu hadi wafike hatua waisome number, basi huku kwa wanyonge watakuwa wamesha maliza kuzisoma namba zote
Nionavyo, Wapiga kelee wakubwa ni hao hao ambao walifaidi sana zile enzi za kusafiri dunia nzima. Enzi ambazo mtu alichomolewa kokote na kupewa kuiongoza TRA. Hao ndo wapiga kelee, wanataka waendelee kuinuka juu kwa haraka sana! Huku chini akina sisi hatuoni tofauti yoyote ile.

Sikuwahi kufaidi pesa ya vikao vya Dubai, sikuwahi kuhutubia mkutano kwa nusu saa na kupewa pesa ya siku 5 za kikao, sikuwahi kusafiri kwa siku 2 nje ya nchi na kupewa pesa ya siku 7. Leo hii nina nini cha kupigia kelele? Nyongeza ya mshahara niliyoiona ilikuwa ya elfu 32! Hiyo ndo niitafute kwa risala? Ili iweje?
 
Huyu ni mwanamziki Wax Dey wa Cameroon akilitumia jina la Magufuli kama ishara ya matumaini ya Afrika. Tukubali sifa hizi na tujivunie kumchagua Magufuli badala ya kuzomea bila sababu.

Ni mchango upi Magu kautoa kwa africa?
 
Nionavyo, Wapiga kelee wakubwa ni hao hao ambao walifaidi sana zile enzi za kusafiri dunia nzima. Enzi ambazo mtu alichomolewa kokote na kupewa kuiongoza TRA. Hao ndo wapiga kelee, wanataka waendelee kuinuka juu kwa haraka sana! Huku chini akina sisi hatuoni tofauti yoyote ile.

Sikuwahi kufaidi pesa ya vikao vya Dubai, sikuwahi kuhutubia mkutano kwa nusu saa na kupewa pesa ya siku 5 za kikao, sikuwahi kusafiri kwa siku 2 nje ya nchi na kupewa pesa ya siku 7. Leo hii nina nini cha kupigia kelele? Nyongeza ya mshahara niliyoiona ilikuwa ya elfu 32! Hiyo ndo niitafute kwa risala? Ili iweje?
Inawezekana uliipata indirect,sisi fundi ujenzi sometimes tulikuwa tunakuwa na kandarasi hadi tatu at a time,wale wa AC walikuwa wanafanyia service AC za hao jamaa kila mwezi,guess now what is happening!
 
Inawezekana uliipata indirect,sisi fundi ujenzi sometimes tulikuwa tunakuwa na kandarasi hadi tatu at a time,wale wa AC walikuwa wanafanyia service AC za hao jamaa kila mwezi,guess now what is happening!
Kwa ujumla mkuu wangu, siyo rahisi nchi ya watu timamu kuruhusu pesa ya aina hiyo kuingia kwenye mfumo. Inaifanya nchi kutokuwa na uchumi unaoeleweka. Wapiga dili ndo wanapanga uchumi kwa matendo yao Ndiyo maana uliona mtu ananunua plot kwa milioni 200 ajenge kituo cha mafuta eti tu ni karibu na barabara. Anayeuza anapata pesa nzuri lakini kwa kuwa chanzo na lengo ni ufisadi nchi haiendelei.

Leo hii wako wapi na vituo vyao? Au mafuta yamekwisha? Magari hatujauza, kwa nini vituo havijengwi?
 
Mwenyekiti anatengeneza tatizo kiujanja ujanja kisha analitatua kiujanja ujanja na wanachama wanapiga makofi na kukata kiuno.
 
Kwa ujumla mkuu wangu, siyo rahisi nchi ya watu timamu kuruhusu pesa ya aina hiyo kuingia kwenye mfumo. Inaifanya nchi kutokuwa na uchumi unaoeleweka. Wapiga dili ndo wanapanga uchumi kwa matendo yao Ndiyo maana uliona mtu ananunua plot kwa milioni 200 ajenge kituo cha mafuta eti tu ni karibu na barabara. Anayeuza anapata pesa nzuri lakini kwa kuwa chanzo na lengo ni ufisadi nchi haiendelei.

Leo hii wako wapi na vituo vyao? Au mafuta yamekwisha? Magari hatujauza, kwa nini vituo havijengwi?
Mkuu ila wakati huo uchumi wetu ulikuwa unakuwa kwa kazi ya 7% Ila sijui kwa Sasa unakuwa kwa asilimia ngapi? Ila kitu kimoja ninachojua ni kwamba,kupiga vita rushwa au madili kunahitaji akili na si nguvu, otherwise utaua uchumi wa nchi.ila Tanzania chini ya ccm tumezoea kuishi Kama mashetani so hamna shida,ufukara kwetu ni fahari
 
Thinking is subjective and not objective na hyo inapelekea wananchi kupokea tawala za nchi mbali mbali kwa namna tofauti tofauti. Kwa wale ambao kipindi cha Rais wa kwanza walipiga maisha lazima walisifia utawala ule na wale walio lost kipindi hicho lazima walikosoa mfumo wa utawala wa mwl. Na ndiyo iko hivo na itabakia kuwa hivyo kwa tawala zote zilizopita na zijazo
 
Back
Top Bottom