Watu
watu ambao hamjawahi kwenda hata mgambo mna shida kweli! Jeshini mkuu wako hawezi kufika kabla yako and there is absolutely NO EXCUSE unless otherwise umecheleweshwa na mkuu wa mkubwa wako. Seniority and ranks ndo huamua chain of command, siyo huku uraiani baba ndevu,mama ndevu na mtoto ndevu,yaani watu mpaka wanabishana na CinC!!!Namkubali sana Dkt. Juma Alli Malewa ,kitendo alichofanyiwa na Kangi hata ingekuwa ni mimi ningeachia Ngazi ni udhalilishaji wa kiwango cha SGR,Kamishna ni mtu mkubwa sana hauwezi kumtoa kwenye kikao kama mtoto.
Big Up Dkt. Juma Alli Malewa kwa kuachia ngazi,Hakuna cha kustaafu wala nini umeachia ngazi mwenyewe.