Atakua Nape baada ya kuongea naye IkuluKuna mtu kachomoa betri uko
Mwenye wasifu wa DG Kamishna Diwani Athumani atuweke tuusome.
Alikuwa mtu wa system tangu ameanza kazi PolisiMwenye wasifu wa DG Kamishna Diwani Athumani atuweke tuusome.
Nahisi alikuwa TISS kitambo maana kuna wakati alipelekwa Kagera kuwa RAS akiwa ni Kamishna wa Polisi.Alikuwa polisi then Takukuru ila Jiwe aliwahi Kusema jamaa Ni TISS kitambo.