Msukuma mwingine huyo in "ze" eyes of "saccos"Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi ambaye ni Jaji wa Mahakama ya Rufani ameteuliwa na Rais Magufuli kuwa Kamishna wa Maadili.
Mwangesi anakuwa kamishna baada ya aliyekuwa Kamishna wa Maadili, Harold Nsekela kufariki dunia.
Uteuzi huu unaanza leo, Desemba 23 na Rais atamuapisha kesho Desemba 24 saa nne asubuhi Ikulu Chamwino.
View attachment 1657542
Km ulisema copy and paste ya...ndo maana akakujibu maana hata ikiwa mpya haitakuwa copy and paste ya kenya sasa lengo lako halitakuwa limetimia?Acha kukwepa hoja.."Tunataka Katiba Mpya"!
Toa justifications kwanini tusiwe na katiba mpya yenye kupunguza huu upumbavu wote?
Hiyo ndio hoja na sio "hamia Kenya"
Shetani aache kutukana ili iweje? Hukuona kamanda msaliti alivyokuwa anatukana kwenye kampeni. Shetani na wafuasi wake wote ni watukanaji.Hivi huwezi kutoa hoja zako bila kutukana matusi?
Tena kule jimbo la Karamoja, kwa wakaramajong, bado kuna nafasi kubwa na ardhi ya kujigawia 😅😅😅Hamia Kenya Bwasheee
Wale wapumbavu wenzio walioondoka bungeni na posho wakachukua unawakumbuka lakini?Katiba Mpya Watanzania walishapiga kura na kusema wanaitaka,sio mimi au wewe!
Walipiga kura,wakatoa maoni ,wakatoa na bajeti ya bunge la katiba,ila tu waCCM wakaharibu takwa la wananchi
Sababu za katiba mpya sina haja ya mimi kutoa,wananchi wa Tanzania wanajua ndio maana walifanya mchakato wote
Wewe na mimi ni vidampa tu,watu milioni 60 wenye nchi yao walikwishaamua siku nyingi na processes zote zilipitiwa ila maCCM walikua stopisha mwishoni sijui nani aliwapa hiyo ruksa!
Ustopishaji ule ulikua badili maana haukuamuliwa na wananchi wenyewe kwa kura,ni mapumbavu kadhaa yaliamua
Hivyo tunataka process iendelee kama walivyokua wanataka mwanzoni
Katiba Mpya sio ombi,ni lazima,maana wananchi wenyewe waliamua na wala sio wewe au CCM
Irudisheni kwa LAZIMA....
Hamtaki leo,but it is the matter of time!
Upumbavu au si upumbavu kutokana na macho yangu haukuhusu,ni maamuzi yangu wewe uhusiki nayo
Na wewe pia kutpitia macho yako kuna vitu unaona upumbavu na vingine si upumbavu..ni yako si yetu!
Usinipe kibarua cha kipumbavu cha kutaja nachoona upumbavu au si upumbavu maana wewe ni useless kwangu,na hayo maono ni yangu sio ya mtu,sihitaji ruksa kuyasema popote!
Mwenye mahaba ni wewe na bwana mawe....ni vizuri ukampa taqor kabisa akapiga!
Kabila gani
Ina maana msukuma amekosekana?Mwarabu
Manuliza makabila mnataka kutambika?Mhehe
Ndio maana yakeAlikosekana kabisa msukuma?
wasukuma hawajui SHERIA WAO WANAJUA KUOA NA KUFUGAAlikosekana kabisa msukuma?
Tena awahi Kenya mwaka huu wamekuja na BBIHamia Kenya Bwasheee
Naunga mkono hoja. Kuapa kulinda KATIBA ambayo haina Ibara ya kumshtaki Rais kwa makosa anayofanya akiwa MADARAKANI na baada ya kutoka ni KAZI BURE.Copy and Paste ya Kenya ni lugha ya picha tu (metaphor)
Kuonyesha kwamba tunataka Katiba serious level ya ile ya Kenya au Ghana au SA...
Sio huu uchafu tulionao wa mwaka 77 rais ni Mungu!
Na since Kenya ndio competitor wetu,na anapofanya kitu safi lazima na sisi tuige tena tumpite kwa ubora..
Ndio hasa maana yangu ya kutaja Kenya
Ningewe kutaja Ghana au SA au United States of America shida ni kwamba ziko mbali na hatuhusiani nazo kiivyo kama Kenya!
Thats my point,metaphorically!
Acha kuendekeza ukabila, ukanda na udini - wanateuliwa kwa sifa zao na uwezo wa kiutendajiKabila gani