Mchechu alijisahau sana kiasi cha kudhani kila mtu ni tajiri;
Nakumbuka siku moja alishangaa nyumba ya Tshs 72 mil watu kulalamika kwamba ni ghali badala ya kubuni mbinu za kuteremsha bei;
Aidha alikuwa anashirikiana na W/biashara binafsi ktk kujenga (kama lile ghorofa liliporomoka Kisutu) na kuuza nyumba!