Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Uteuzi Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Sophia Kongela kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC)
Wakati huo huo Dkt. Maulid Banyani ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC
Wakati huo huo Dkt. Maulid Banyani ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC