Rais Magufuli amshauri Waziri kuvuta bangi ya Njombe kisiri siri akienda huko awe mkali

Mh.Rais bwana mmmhhh utani wa bangi,lakini siyo hadharani.Kauli zake huchanganya sana.Labda anajua waziri huwa anapasha ya sehemu nyingine lakini bado ni mpole,na akahisi ya Njombe inaweza kumfanya awe mkali.
 
Mkuu magufuli sio msukuma anajipakazia tu, kuthibitisha aseme yeye ni msukuma wa wapi aoneshe na kijiji chao usukumani, huyu jamaa asili yake ukiifikiria utaishia kusema hiiiiiiiii....

Sent using Jamii Forums mobile app

Wasukuma hawana tabia za ukatili,visasi, chuki,ligi,wao ni watu wa Amani wana Upendo na watu.
 
Wasukuma hawana tabia za ukatili,visasi, chuki,ligi,wao ni watu wa Amani wana Upendo na watu.


Acha uongo, wasukuma ni makatili sana, je umesahau jinsi wanavyoua vikongwe kwa kuwacharanga mapanga kama nyama ya ng'ombe??!!, Sakata la kuua maalbino kwa kuchukua viungo vyao, ni nani wanaofanya unyama huo??!!.🤔🤔

Wasukuma ni washirikina sana.
 
BANGI WEEEEE! JAMAA FULANI ALIVUTA ALIPORUDI NYUMBANI AKAKAA JUU YA TV ANAANGALIA MAKOCHI YAKE.MWINGINE ALIRUDI NYUMBANI AKAWA ANAPIGA HODI,JIRANI AKAMJIBU HAWAPO.NAE ANASEMA SAWA AKAONDOKA KURUDI PASIPOJULIKANA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akiwa Njombe, Rais Dr John Magufuli amemshauri waziri wa Maji kuwa mkali anapoenda kutana na makandarasi wa miradi ya Maji.

Kamwambia hapaswi kuwa mkali.Kama inawezekana akavute bangi ya Njombe. Of course isiwe hadharani.Kamshauri iwe ndani huko kisiri siri halafu ikipanda kichwani akaonane na wakandarasi wa maji akawe mkali.

"Nimekupeleka pale ukafanye mabadiliko, ukalisimamie hilo, kwa sababu nina matatizo sana na baadhi ya miradi ya maji, na ndio maana nimekuwa nikifanya mabadiliko kwenye miradi ya maji, kwa sababu haileti impact. Zinazungumzwa fedha zimeenda kwenye miradi lakini hazikuenda, kuna wakati nilienda kanda ya ziwa, mradi umetumika milioni 400, zilikuwa milioni 800 lakini maji hayapo, sasa nikuombe Waziri na watendaji mkawe wakali kweli kweli, kama unaweza ukavute bangi ya Njombe ili uwe mkali kaivute, kaivute kisiri siri wasikuone ukiivuta, ili ukienda kwenye mradi hawa mainjia wa maji wakafanye kazi”,
alisema Rais Magufuli.

Naamini kama kuna waziri anayetumia hiyo kitu kwa jambo hili atakuwa anatabasamu huko aliko.Haya ndo maendeleo tunayotaka.

Maneno ya Rais ni Amina na Kweli. Yaani ni Sheria.
Jamaa atafuta kila aina ya Kiki ili watu wasahau ripoti ya CAG, lakini Hilo halifutiki,yaani sie wengine tulikuwa hata hatujui mambo haya ya ripoti,lakini utawala huu umefanya kila mtu awe Ni mfuatiliaje was mambo ya serikali kwa ukaribu sana,kila udhalimu ukizidi,raia huzidi kufungua akili zao.
 
Akiwa Njombe, Rais Dr John Magufuli amemshauri waziri wa Maji kuwa mkali anapoenda kutana na makandarasi wa miradi ya Maji.

Kamwambia hapaswi kuwa mkali.Kama inawezekana akavute bangi ya Njombe. Of course isiwe hadharani.Kamshauri iwe ndani huko kisiri siri halafu ikipanda kichwani akaonane na wakandarasi wa maji akawe mkali.

"Nimekupeleka pale ukafanye mabadiliko, ukalisimamie hilo, kwa sababu nina matatizo sana na baadhi ya miradi ya maji, na ndio maana nimekuwa nikifanya mabadiliko kwenye miradi ya maji, kwa sababu haileti impact. Zinazungumzwa fedha zimeenda kwenye miradi lakini hazikuenda, kuna wakati nilienda kanda ya ziwa, mradi umetumika milioni 400, zilikuwa milioni 800 lakini maji hayapo, sasa nikuombe Waziri na watendaji mkawe wakali kweli kweli, kama unaweza ukavute bangi ya Njombe ili uwe mkali kaivute, kaivute kisiri siri wasikuone ukiivuta, ili ukienda kwenye mradi hawa mainjia wa maji wakafanye kazi”,
alisema Rais Magufuli.

Naamini kama kuna waziri anayetumia hiyo kitu kwa jambo hili atakuwa anatabasamu huko aliko.Haya ndo maendeleo tunayotaka.

Maneno ya Rais ni Amina na Kweli. Yaani ni Sheria.
Mh. Waziri pokea kitu hicho cha Njombe.

tapatalk_1555015339659.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akiwa Njombe, Rais Dr John Magufuli amemshauri waziri wa Maji kuwa mkali anapoenda kutana na makandarasi wa miradi ya Maji.

Kamwambia hapaswi kuwa mkali.Kama inawezekana akavute bangi ya Njombe. Of course isiwe hadharani.Kamshauri iwe ndani huko kisiri siri halafu ikipanda kichwani akaonane na wakandarasi wa maji akawe mkali.

"Nimekupeleka pale ukafanye mabadiliko, ukalisimamie hilo, kwa sababu nina matatizo sana na baadhi ya miradi ya maji, na ndio maana nimekuwa nikifanya mabadiliko kwenye miradi ya maji, kwa sababu haileti impact. Zinazungumzwa fedha zimeenda kwenye miradi lakini hazikuenda, kuna wakati nilienda kanda ya ziwa, mradi umetumika milioni 400, zilikuwa milioni 800 lakini maji hayapo, sasa nikuombe Waziri na watendaji mkawe wakali kweli kweli, kama unaweza ukavute bangi ya Njombe ili uwe mkali kaivute, kaivute kisiri siri wasikuone ukiivuta, ili ukienda kwenye mradi hawa mainjia wa maji wakafanye kazi”,
alisema Rais Magufuli.

Naamini kama kuna waziri anayetumia hiyo kitu kwa jambo hili atakuwa anatabasamu huko aliko.Haya ndo maendeleo tunayotaka.

Maneno ya Rais ni Amina na Kweli. Yaani ni Sheria.
Mmh........

Hakika Mkuu wa nchi amefyatuka!

Hivi anaweza ihalalisha bangi wakati Polisi wakikuona angalau tu na mbegu yake, watalala nawe mbele!
 
Mmh........

Hakika Mkuu wa nchi amefyatuka!

Hivi anaweza ihalalisha bangi wakati Polisi wakikuona angalau tu na mbegu yake, watalala nawe mbele!


Kick ya 2020--- the 2020 campaigns starts by sensatising the Marijuana smokers as we know there is an increasing number of young men smoking the stuff.

The smokers would be voters in 2020 general election. 😁😁
 
Huu ushauri hapana, kwa sasa nikiona kiongozi mkali. Naanza kujiuliza kitakuwa cha wapi, Arusha, Njombe au Songea
 
Back
Top Bottom