Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amewasili nchini kwa ziara ya Kitaifa ya siku 2 kisha atahudhuria Mkutano wa SADC
Rais Cyril Ramaphosa
Namshukuru Rais Magufuli kwa kunialika. Katika majadiliano yetu na Rais Magufuli tumejadili sekta mbalimbali za mahusiano katika nchi hizi mbili. tutampa ushirikiano mzuri Rais Magufuli na Tanzania katika kipindi hiki ambacho anaenda kuwa mwenyekiti wa SADC
Rais John Magufuli
Mazungumzo yetu na Rais Ramaphosa yalijikita katika masuala ya uchumi. Tumepongeza mafanikio yaliyojitokeza katika nyanja ya biashara na uwekezaji hapa nchini
Tanzania na Afrika ya Kusini zinauhusiano mzuri ambao umekuwepo tangu harakati za ukombozi wa Afrika urafiki wetu ulichagizwa zaidi na urafiki ulio kuwepo kati ya Baba wa Taifa letu Hayati Nyerere na Baba wa Taifa wa Afrika ya Kusini Hayati Nelson Mandela
Ndugu wanahabari muda mfupi uliopita mimi na Mh. Rais Ramaphosa tumefanya mazungumzo pamoja kwanza tulifanya mazungumzo ya faragha na kisha tukazungumza rasmi mazungumzo yetu kwa ujumla yalijikita katika ushirikiano wa kiuchumi
Rais Cyril Ramaphosa
Namshukuru Rais Magufuli kwa kunialika. Katika majadiliano yetu na Rais Magufuli tumejadili sekta mbalimbali za mahusiano katika nchi hizi mbili. tutampa ushirikiano mzuri Rais Magufuli na Tanzania katika kipindi hiki ambacho anaenda kuwa mwenyekiti wa SADC
Rais John Magufuli
Mazungumzo yetu na Rais Ramaphosa yalijikita katika masuala ya uchumi. Tumepongeza mafanikio yaliyojitokeza katika nyanja ya biashara na uwekezaji hapa nchini
Tanzania na Afrika ya Kusini zinauhusiano mzuri ambao umekuwepo tangu harakati za ukombozi wa Afrika urafiki wetu ulichagizwa zaidi na urafiki ulio kuwepo kati ya Baba wa Taifa letu Hayati Nyerere na Baba wa Taifa wa Afrika ya Kusini Hayati Nelson Mandela
Ndugu wanahabari muda mfupi uliopita mimi na Mh. Rais Ramaphosa tumefanya mazungumzo pamoja kwanza tulifanya mazungumzo ya faragha na kisha tukazungumza rasmi mazungumzo yetu kwa ujumla yalijikita katika ushirikiano wa kiuchumi