Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,991
Kwanini niwe na wivu wakati mimi sina hata chama wewe vip acha ushabiki wakijinga
Wivu
Kwanini niwe na wivu wakati mimi sina hata chama wewe vip acha ushabiki wakijinga
Anza kutumia ubongo....
Ningekuwa siitumii ubongo ningekubali hayo mazingaombwe kama ww.
Akili zako ziko timamu kweli.nikatafute mwanaume jf kwani mtaani ninapoishi hawapo..😏😏😏😏😏Angalie nikikuwa nina react nini
Kupunguza gharama za hospitali kwa maskini uwepo utaratibu wa bima nafuu....
Mkiwa mna tafuta wanaume mnaandika comment ili kupata attentions
Akili zako ziko timamu kweli.nikatafute mwanaume jf kwani mtaani ninapoishi hawapo..
Mjinga ni yule asiyeweza ku prove kama imepangwa na still anaamini imepangwa..Kwanini niwe na wivu wakati mimi sina hata chama wewe vip acha ushabiki wakijinga
Acha ki-herehere! wa kumpa Pole humuoni au !!!!Pole sana mh.Rais