Hao watajikosoa hadi siku ya sherehe ya ushindi wa Tundu Lissu.Mmeanza kupunguza tena make mlikuwa mnasema atashinda kwa 99%
hivi alipokwambia hakumtuma mtu ulimuelewa kweli?Siasa inaonyesha Rais Magufuli, ameanza kuibali siasa, na ameanza kuwa very tolerant na yuko focused kwenya mahitaji ya kudumu ya Wananchi.
POLICAL MATURITY: Rais amezidi kuiva kisiasa, tumeona akiwa hana ushawishi katika Uchaguzi wa Ugombea Ubunge wa wale waliokuwa wakisemekana kuwa ni watu wake wa karibu...
Mkuu ngonjera yako isiyokuwa na vina wala mizani imeisha?Siasa inaonyesha Rais Magufuli, ameanza kuibali siasa, na ameanza kuwa very tolerant na yuko focused kwenya mahitaji ya kudumu ya Wananchi.
POLICAL MATURITY: Rais amezidi kuiva kisiasa, tumeona akiwa hana ushawishi katika Uchaguzi wa Ugombea Ubunge wa wale waliokuwa wakisemekana kuwa ni watu wake wa karibu...
Duh, SPANA au SPOKO? tatizo nyumbu hamjielewi, wale mnao waona ni mashabiki tuu, na siyo wapiga kura a.k.a, WAJUMBE. Msije mkawashawishi mashabiki/WAJUMBE mwezi oktoba waingie mtaani walete fujo, ili hali siyo wapiga kura na hawakumpigia huyo NYAKA-TUNDU wenu. Wapiga kula wametulia tulii, tunawaangalia mnavyo hangaika. Tukutane Oktoba bhanaMkirindi,
Katanga bhana, inaonekena unapiga ramli tu, lini kabadirika? Au baada ya spana za lissu ?? magufuri hawezi kabadirika Kama unavyoota, hata kama ameanza kubadirika kuanzia Jana mwambieni ameshachelewa, yaani kifupi October watanzania wanaimwaga pombe rasmi, mwambieni amechelewaaaa
Na mauaji ya hovyo hovyo ya raia yaliyofanyika kwa kipindi cha Miaka mitano yamekoma, lakini adhabu ya Uhalifu iko pale paleSiasa inaonyesha Rais Magufuli, ameanza kuibali siasa, na ameanza kuwa very tolerant na yuko focused kwenya mahitaji ya kudumu ya Wananchi.
POLICAL MATURITY: Rais amezidi kuiva kisiasa, tumeona akiwa hana ushawishi katika Uchaguzi wa Ugombea Ubunge wa wale waliokuwa wakisemekana kuwa ni watu wake wa karibu...
Mlivyo waoga sasa, mkijitia wazimu tutawalamba virungu hadi mchanganyikiweNguvu ipo na hakuna jeshi liliwahi kuwashinda raia wake. Tumejipanga
Loosing au losing?I am not one of the voters but I cant see Magufuli loosing this Election at any means.
ThubutuuuuMlivyo waoga sasa, mkijitia wazimu tutawalamba virungu hadi mchanganyikiwe
HujaelewekaDuh, SPANA au SPOKO? tatizo nyumbu hamjielewi, wale mnao waona ni mashabiki tuu, na siyo wapiga kura a.k.a, WAJUMBE. Msije mkawashawishi mashabiki/WAJUMBE mwezi oktoba waingie mtaani walete fujo, ili hali siyo wapiga kura na hawakumpigia huyo NYAKA-TUNDU wenu. Wapiga kula wametulia tulii, tunawaangalia mnavyo hangaika. Tukutane Oktoba bhana
Siasa inaonyesha Rais Magufuli, ameanza kuibali siasa, na ameanza kuwa very tolerant na yuko focused kwenya mahitaji ya kudumu ya Wananchi.
POLICAL MATURITY: Rais amezidi kuiva kisiasa, tumeona akiwa hana ushawishi katika Uchaguzi wa Ugombea Ubunge wa wale waliokuwa wakisemekana kuwa ni watu wake wa karibu...