Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
Kama kweli kaandika Mstahiki meya hii thread basi ana haki ya kudharauliwa.
KAJIDHALILISHA AISEE AU NA YEYE ANATUMIKA!
Kama kweli kaandika Mstahiki meya hii thread basi ana haki ya kudharauliwa.
Mbona huko si kudhalilishwa Mkuu? Me nilijua umefanyiwa mengine!!! Kumbe Meya mzima unatafuta public sympathy....
Ajikwezae Hushuhswa, Asiyejikweza Hupandishwa....
let's be humble, piga kazi walizokutuma wananchi.
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA ALIVYODHALILISHWA NA SERIKALI YA MAGUFULI
Makamanda pipozzzzz! Jana nilipokea mwaliko wa maneno kutoka kwa Mkuu wa Wilaya kupitia kwa Mkurugenzi wangu Manispaa ya Ilala wakinitaka niungane nao leo (jana) kwenye ziara ya Raisi Kinýerezi kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa kituo kipya cha kufua umeme wa gesi na mvuke 240 MW (Kinyerezi II), mradi unaotarajiwa kukamilika 2018.
Nilipofika nilipokelewa na kiongozi mmoja wa protocal ambaye ananifahamu kwa kuwa tulikuwa tunasali pamoja zamani akanikabidhi kwa public relation manager wa Tanesco ambaye pia ananifahamu tangu akiwa mwandishi wa habari na mimi nikiwa mwanaharakati wa kupinga wawekezaji wa TTCL.
Kama Meya nilipangiwa kukaa jukwaa kuu la Raisi kati ya matatu ambayo mengine yalikaliwa na waheshimiwa wabunge na wawekezaji, lingine likikaliwa na wakurugenzi na viongozi wengine.
Sasa kituko kikaanza, Mkurugenzi mkuu wa Tanesco akaanza kutambulisha watu walio ktk jukwaa kuu akataja karibu wote pamoja na mbunge Bona aliyekaa pamoja na mimi kwa heshima ya mbunge mwenyeji akaniruka mimi japokuwa alikwishaambiwa uwepo wangu!
Baadae alimkaribisha Raisi aliyekuja na kituko cha mwaka. Aliendelea kutambulisha mabalozi na wawekezaji, mkewe, mbunge Zungu (Ilala), mbunge Kessy (Nkasi Kaskazini) akamruka Anatropia wa CDM, akamwita mbele mbunge Bona na kumsifia sana akisema kwamba wananchi wa Segerea walifanya vizuri kuchagua mbunge wa ccm kama na yeye alivyo wa ccm na kwamba kwa kufanya hivyo watapata maendeleo kwa sababu ati hawezi kumpa mtoto wa jirani chakula wakati wakwake yupo!
Kama hiyo haikutosha akampa nafasi ya kusalimia wananchi! Haikuishia hapo akasema amemchagua mkuu wa mkoa Makonda kwa vile ni mchapakazi na kwamba wengine walikuwa wakigombana naye na kujidai kukataa fedha za maendeleo sasa yeye kampa ukuu wa mkoa awe bosi wao sasa aone kitakachoendelea!
Kauli hii iliniacha hoi. Kama vile haitoshi akasema tena kwamba amemteua mchapakazi mwingine ambaye wasiopenda maendeleo wanampinga Mh. Muhongo. Ati naye atawakomesha wale waliokuwa wanapenda kukodishakodisha mitambo ya kufua umeme. Ati anampongeza kwa kuvunja bodi iliyokuwa inamshauri kukodishakodisha mitambo ya ajabuajabu.
Yote hiyo ni mipasho kwa wapinzani ambayo haikutakiwa kutoka kwenye kinywa cha Raisi. Ile ilikuwa ziara ya kiserikali siyo ya chama chake. Na madongo mengine mengi kawarushia wapinzani utafikiri akina mama wanaocharurana kwa mafumbo.
Nimejuta kwenda huko na sitakaa niende tena kwenye ziara zake kwani huko ni kufuata maudhi badala ya kufurahia maendeleo ambayo ndiyo lengo la UKAWA.
Mkuu zuberi Abraham umeseme kitu cha maana sana,kwamba watu watafute kwanza ukweli wa jambo...Na ukweli wenyewe kwa sisi kama wakazi wa Jimbo la Segerea ulipo mradi wa Kinyerezi tulihamasishwa na diwani wetu ambao mradi upo eneo lake kwamba tufike kwa wingi,na diwani pamoja na mbunge wa Segerea Kaluwa pamoj na yule dada viti maalumu wa CHADEMA walituambia mradi wa umeme hauna itikadi ya vyama...Na kweli tulihudhuria kwa wingi....Lkn tulichoshuhudia ni hayo yaliyoandikwa.Nafikiri kabla mtu hujacomment chochote ingekua vizur ukatafuta kwanza ukweli wa jambo nawasihi wana JF. Tuje kwenye mada ilioletwa nimejitahid kufuatilia hotuba ya raisi kuona kilichoongelewa ni cha kwel bila mafanikio ina maana huyu meya sasa kaanza kutudanganya maana maneno hayo cjayaona wala kuyasikia kwenye hotuba sasa kama meya unaweza kutudanganya hiv vip hayo mengine yenye maslahi na ilala na unainterest nayo???? Acha kutafuta kick piga kazi
ya kuwapiga vijembe wapinzani?sijabisha tusubiri na tuone......lakini niulize si haya mlikuwa mkiyalilia kila siku??si haya ndio anayoyatekeleza???
vijembe gani labda??unapofikiri kila linalosemwa ni lako au linakugusa kinachofuata ndo hiki cha kujishtukia,kuhisi mnapigwa vijembeya kuwapiga vijembe wapinzani?
tambua kweli wewe unajua kuwa eneo la kimyerezi lipo chini ya meya wa ilala , na mbunge anakuwa chini ya mayor ambaye ndio mwenyekti wa kamati za maendeleo za jimbo la segerea na manispaa nzima? Hapo itifaki haikuzingatiwa ilibidi uwepo wa meya utambuliwe kabla ya uwepo wa mbunge? Je wajua kuwa mbunge anaweza asifanye kazi zake vizuri ikiwa mayor atakuwa na tabia kama ya rais wenu ya kubagua na hivyo bajeti kuelekezwa maeneo mengine! Acha siasa ktk maisha ya watuMwita wewe ni ndugu yangu lakini ni pumbavu uliyetukuka. Jana nilikuwepo hapo kinyerezi katika msafara wa Rais. Kwa nini unapotosha umma hivi!!!!!????? Mbona sisi watu wa mara hatuna tabia hizi za kishenzi Mwita!!!!!! Huyo Meya wa Ilala ulitaka Mh Rais ampakate ili kutambua uwepo wake!? Mbona ITIFAKI ilizingatiwa sana jana.
Asante kwa kuyaona mapungufu,Siku edit post yangu...Ebu pitia post yako,jinsi ulivyo m crush mtoa mada.Punguza jazba, Ndugu yangu...matusi hayasaidii wala hayajengi...Haisaidii kabisa kusema sijui huyu 'junk' au 'ana akili ndogo' na kadhalika. Halafu uwe una-edit post zako, 'Mbeya 'nadhani unamananisha 'Meya', nadhani pia 'maswala' unamananisha 'masuala'. 'Swala' ni 'ibada' na maana nyingine ni aina ya 'mnyama'. Edit pia maneno ya kiingereza, hakuna kitu kinaitwa 'brotocal'. Inawezekana ni hasira zako zinakufanya ushindwe kuweka maneno yako vizuri... Kwa maoni yangu 'Protocol' inawezekana imekiukwa...hoja yangu haihusu kamwe ukiukwaji wa protocol au la. Hoja yangu ni namna hoja hiyo ilivyowasilishwa na nani aliyewasilisha, je, aliyewasilisha hoja hiyo humu JF ni Meya au mtu mwingine? Kama ni Meya then it is a problem. Hiyo ndiyo hoja yangu.
HII NCHI NI YETU WOTE SIO YA CHAMA ....SIONI KAMA MKIACHA KUHUDHURIA SHUGHULI NI SAHIHI ......NYIE NENDENI TU HUDHURIENI ILI TUWAONE WABAGUZI KWA RANGI ZAO .......PUT THEM INTO SHAME ..................
ILA NILIKUWA NAMUONA MAGUFULI KWENYE MAMBO YA KITAIFA SIO MBAGUZI KWA KUWA PIA ALIOMBA KURA ZA UPINZANI .....KAMA NI KWELI ANAKOSEA ....KIKWETE PAMOJA NA KUWA KADA MZURI ALIKUWA NA MIPAKA SANA LINAPOKUJA EVENT YA KITAIFA
Kwa maoni yako ni wazi inaelekekea JK alikuwa dhaifu lakini alijitambua udhaifu wake kitu ambacho ni cha msingi sana katika maisha ya mwandadamu. i.e. 'hakuna binadamu aliye mkamilifu'.HII NCHI NI YETU WOTE SIO YA CHAMA ....SIONI KAMA MKIACHA KUHUDHURIA SHUGHULI NI SAHIHI ......NYIE NENDENI TU HUDHURIENI ILI TUWAONE WABAGUZI KWA RANGI ZAO .......PUT THEM INTO SHAME ..................
ILA NILIKUWA NAMUONA MAGUFULI KWENYE MAMBO YA KITAIFA SIO MBAGUZI KWA KUWA PIA ALIOMBA KURA ZA UPINZANI .....KAMA NI KWELI ANAKOSEA ....KIKWETE PAMOJA NA KUWA KADA MZURI ALIKUWA NA MIPAKA SANA LINAPOKUJA EVENT YA KITAIFA
We Mwita acha Magu awanyooshe, mlimsumbua sana JK kwa kuwa hotoki kabila kubwa na dini yenye structures nyingi nchini! kwa propaganda za media, mlipata sapoti kubwa ya wanaharakati na makudi mbalimbali awamu ya nne. Mkamsumbua kwa maandamano na kejeli,matusi! lakini kamwe hakurudisha ubaya still aliwatreat kama wananchi wake akiwaaita ikulu kujadiliana naye mustakabali wa taifa, sasa mnadhani kila raisi ni kama JK mpole!Hii ya JPM ni kengele ya hatari kwa viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani. Wakati sisi tunafikiria kujenga utaifa, kumbe Raisi wa nchi anafikiria kuijenga ccm kwa gharama ya kudhalilisha viongoxi wa upinzani.
Kwahakika raisi asiendelee kuhadaa watanzania kuwa ni raisi wa wote. Amethibitisha kuwa ni raisi wa ccm.
Kuanzia sasa tutacheza na viongozi wa serikali kadri ya muziki unaopigwa na hatutakubali kiongozi wetu yeyote adhalilishwe tena.
Kama hamna cha maana unafanya nn kwenye Huu uziKweli amna cha maana apa!
Kama ni kweli basi, Mungu amsamehe JPM maana Magu ajue anaongoza wtz wote bila kujali dini, chama au kabila kama anavyosema mwenyewe kila anapotoa hotuba yake, na ajifunze kwa wenzetu wamerekani uchaguzi ukishaisha ni mwendo wa kuijenga nchi vijembe ni wakati wa kampeni tu.MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA ALIVYODHALILISHWA NA SERIKALI YA MAGUFULI
Makamanda pipozzzzz! Jana nilipokea mwaliko wa maneno kutoka kwa Mkuu wa Wilaya kupitia kwa Mkurugenzi wangu Manispaa ya Ilala wakinitaka niungane nao leo (jana) kwenye ziara ya Raisi Kinýerezi kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa kituo kipya cha kufua umeme wa gesi na mvuke 240 MW (Kinyerezi II), mradi unaotarajiwa kukamilika 2018.
Nilipofika nilipokelewa na kiongozi mmoja wa protocal ambaye ananifahamu kwa kuwa tulikuwa tunasali pamoja zamani akanikabidhi kwa public relation manager wa Tanesco ambaye pia ananifahamu tangu akiwa mwandishi wa habari na mimi nikiwa mwanaharakati wa kupinga wawekezaji wa TTCL.
Kama Meya nilipangiwa kukaa jukwaa kuu la Raisi kati ya matatu ambayo mengine yalikaliwa na waheshimiwa wabunge na wawekezaji, lingine likikaliwa na wakurugenzi na viongozi wengine.
Sasa kituko kikaanza, Mkurugenzi mkuu wa Tanesco akaanza kutambulisha watu walio ktk jukwaa kuu akataja karibu wote pamoja na mbunge Bona aliyekaa pamoja na mimi kwa heshima ya mbunge mwenyeji akaniruka mimi japokuwa alikwishaambiwa uwepo wangu!
Baadae alimkaribisha Raisi aliyekuja na kituko cha mwaka. Aliendelea kutambulisha mabalozi na wawekezaji, mkewe, mbunge Zungu (Ilala), mbunge Kessy (Nkasi Kaskazini) akamruka Anatropia wa CDM, akamwita mbele mbunge Bona na kumsifia sana akisema kwamba wananchi wa Segerea walifanya vizuri kuchagua mbunge wa ccm kama na yeye alivyo wa ccm na kwamba kwa kufanya hivyo watapata maendeleo kwa sababu ati hawezi kumpa mtoto wa jirani chakula wakati wakwake yupo!
Kama hiyo haikutosha akampa nafasi ya kusalimia wananchi! Haikuishia hapo akasema amemchagua mkuu wa mkoa Makonda kwa vile ni mchapakazi na kwamba wengine walikuwa wakigombana naye na kujidai kukataa fedha za maendeleo sasa yeye kampa ukuu wa mkoa awe bosi wao sasa aone kitakachoendelea!
Kauli hii iliniacha hoi. Kama vile haitoshi akasema tena kwamba amemteua mchapakazi mwingine ambaye wasiopenda maendeleo wanampinga Mh. Muhongo. Ati naye atawakomesha wale waliokuwa wanapenda kukodishakodisha mitambo ya kufua umeme. Ati anampongeza kwa kuvunja bodi iliyokuwa inamshauri kukodishakodisha mitambo ya ajabuajabu.
Yote hiyo ni mipasho kwa wapinzani ambayo haikutakiwa kutoka kwenye kinywa cha Raisi. Ile ilikuwa ziara ya kiserikali siyo ya chama chake. Na madongo mengine mengi kawarushia wapinzani utafikiri akina mama wanaocharurana kwa mafumbo.
Nimejuta kwenda huko na sitakaa niende tena kwenye ziara zake kwani huko ni kufuata maudhi badala ya kufurahia maendeleo ambayo ndiyo lengo la UKAWA.
kwa hiyo pale alikuwa anawaongelea wakenya eti?vijembe gani labda??unapofikiri kila linalosemwa ni lako au linakugusa kinachofuata ndo hiki cha kujishtukia,kuhisi mnapigwa vijembe