Umakini upi? Wa kule lumumba?
Usisahau pia wanakijiji tunataka Milions 50 zetu alizo tuahidi
Mbunge mmoja ameambukizwa virus vya Corona...
Basi tumuombe Nd. Makonda asije kumtangaza
Kumbe mpaka cases ziongezeke kufikia 2 ml
Kwa nini wabunge wasikatwe hela za posho kusaidia kypambana na korona wamekaa na vitambi vyao tu kule hawana hoja madhubuti za kupmbana na korona isipikuwa wawili watatu .kwa mfano kuna mwengine anataka taarifa za korona zisitangazwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Who paid you to write your rubbish in jF?Mimi huwa namwamini sana Rais Magufuli katika hotuba si mtu wa porojo wala kupindisha maneno, anaongea ukweli
Unaweza kumwita Magufuli ni Mussa anayetupeleka katika Nchi ya ahadi, alinusa kuwa dunia itakumbwa na msuko suko wakajipanga mapem.
Kipindi cha nyuma kidogo Rais Magufuli aliwahi kuwaambia Wananchi wake kuwa Serkali ina akiba ya fedha za kigeni kuendesha Nchi kwa miezi sita bila kuzalisha,kuna baadhi ya wanasiasa walitilia mashaka maneno yake
Lakini ukweli Sasa umedhihirika ,tunaingia mwezi wa watatu toka korona iingie Africa mashariki Hivyo kupelekea shughuli nyingi za uchumi kusimama Mfano sector ya utalii imesimama kabisa ambayo inachangia kwa kiasi kikubwa katika pato la Taifa ,na shughuli nyingine nyingi za kiuchumi zimesimama Kwasasa
Lakini Ukiangalia Mambo yanaenda barabara husikii ukosefu wa petrol, husikii wabunge wamekosa posho tofauti na Rwanda ambapo Viongozi wanakatwa mishahara ili kufidia mapungufu ya Serkali yaani kwa ufupi Mambo ni swadakta
Hii Ndio faida ya kiongozi anayewaza mambo ya kesho
Tunazidi kukuombea Rais wetu, Mungu aendelee kukupa busara na upendo ili uendelee kututumikia vyema sisi Watanzania.
Corona upite mbali uiache Tanzania ,Ndani ya May shughuli za kiuchumi zirejelee
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili yako ni sawa na corona. Kwani ww na Magufuli uwa mnazalisha nn. Walioua biashara ni nani kama siyo Magufuli. Naona karibu unaondolewa kwenye PAYROLL inabidi msifie tu hata yasiyosifiwa.Mimi huwa namwamini sana Rais Magufuli katika hotuba si mtu wa porojo wala kupindisha maneno, anaongea ukweli
Unaweza kumwita Magufuli ni Mussa anayetupeleka katika Nchi ya ahadi, alinusa kuwa dunia itakumbwa na msuko suko wakajipanga mapem.
Kipindi cha nyuma kidogo Rais Magufuli aliwahi kuwaambia Wananchi wake kuwa Serkali ina akiba ya fedha za kigeni kuendesha Nchi kwa miezi sita bila kuzalisha,kuna baadhi ya wanasiasa walitilia mashaka maneno yake
Lakini ukweli Sasa umedhihirika ,tunaingia mwezi wa watatu toka korona iingie Africa mashariki Hivyo kupelekea shughuli nyingi za uchumi kusimama Mfano sector ya utalii imesimama kabisa ambayo inachangia kwa kiasi kikubwa katika pato la Taifa ,na shughuli nyingine nyingi za kiuchumi zimesimama Kwasasa
Lakini Ukiangalia Mambo yanaenda barabara husikii ukosefu wa petrol, husikii wabunge wamekosa posho tofauti na Rwanda ambapo Viongozi wanakatwa mishahara ili kufidia mapungufu ya Serkali yaani kwa ufupi Mambo ni swadakta
Hii Ndio faida ya kiongozi anayewaza mambo ya kesho
Tunazidi kukuombea Rais wetu, Mungu aendelee kukupa busara na upendo ili uendelee kututumikia vyema sisi Watanzania.
Corona upite mbali uiache Tanzania ,Ndani ya May shughuli za kiuchumi zirejelee
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili yako ni sawa na corona. Kwani ww na Magufuli uwa mnazalisha nn. Walioua biashara ni nani kama siyo Magufuli. Naona karibu unaondolewa kwenye PAYROLL inabidi msifie tu hata yasiyosifiwa.
Wewe ni Kichwa maji kabisaMilion 50 Ndio hizo elimu bure Mtoto wako anasoma bure, zahanati kila kona ya Nchi, umeme kila kijiji, barabara zimazopitika mwaka mzima
Hiyo Ndio milion 50 kamanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni Kichwa maji kabisa
Ndivyo ulivyo danganywa hivyo huko Lumumba?
Unafikiri waTanzania ni wajinga kama ww?
I'm talk about 50 mil to all Tanzania villagesMimi sio kichwa maji brother
Wewe kijiji chako Hakuna elimu bure? Umeme sawa na bure! Zahanati ! Barabara ! Hiyo Ndio elimu bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia akili wewe..nchi hii kila mtu anataka mema...usidhani watu kukosoa mfumo basi awaipendi nchi yao. Awe CHADEMA,CCM au CUF wote wanaipenda nchi yao ila ikitokea tatizo lazma walio na mawazo tofauti wakosoe. Kwasasa tumefikia 171 wakati tulianza na mmoja ndugu. Nakushauri sana usiwe mtu wakidhani upande wako ndo sahii siku zote.
Tumia akili wewe..nchi hii kila mtu anataka mema...usidhani watu kukosoa mfumo basi awaipendi nchi yao. Awe CHADEMA,CCM au CUF wote wanaipenda nchi yao ila ikitokea tatizo lazma walio na mawazo tofauti wakosoe. Kwasasa tumefikia 171 wakati tulianza na mmoja ndugu. Nakushauri sana usiwe mtu wakidhani upande wako ndo sahii siku zote.
Nilikua sijui kua mtoto wa Mbowe ni mali ya umma
Nilikua sijui kua mtoto wa Mbowe ni mali ya umma
Acha propaganda za kitoto hapa! Hebu kaisome ripoti ya cag kwanza ndio uje na hivi vinginjera vyako vya STD iv! Au yule cag ni wa Kenya? Katafute wa kumfunga kamba za migomba kwani hapa jf wapo wenye uelewa Mpana kuliko wewe mlamba viatu!Ifike mahali Watanzania wajiamini,tuna kiongozi bora sana wa Nchi ,
Sisi Tanzania tumebahatika kupata kiongozi anayechukia rushwa sana
Ni aghalabu kwa Nchi za kiafrica kumpata kiongozi Mzalendo kama Magufuli, viongozi Wengi wa Africa ni wapenda rushwa, Wengi wanashirikiana na Mabeberu kuwaibia Wananchi
Lakini Rais Magufuli amejitenga na ubadhirifu huo anawatumikia Wananchi wake kwa moyo mmoja, hana muda wa kwenda kwa Mabeberu kula kodi za Wananchi
Awamu ya tano awamu iliyojaa uzalendo
Sent using Jamii Forums mobile app