Rais Magufuli aliposema tuna akiba ya fedha za kigeni kuendesha Nchi kwa miezi sita bila kuzalisha hawakuamini, sasa tunaenda mwezi wa tatu

Kwa nini wabunge wasikatwe hela za posho kusaidia kypambana na korona wamekaa na vitambi vyao tu kule hawana hoja madhubuti za kupmbana na korona isipikuwa wawili watatu .kwa mfano kuna mwengine anataka taarifa za korona zisitangazwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa namwamini sana Rais Magufuli katika hotuba si mtu wa porojo wala kupindisha maneno, anaongea ukweli

Unaweza kumwita Magufuli ni Mussa anayetupeleka katika Nchi ya ahadi, alinusa kuwa dunia itakumbwa na msuko suko wakajipanga mapem.

Kipindi cha nyuma kidogo Rais Magufuli aliwahi kuwaambia Wananchi wake kuwa Serkali ina akiba ya fedha za kigeni kuendesha Nchi kwa miezi sita bila kuzalisha,kuna baadhi ya wanasiasa walitilia mashaka maneno yake

Lakini ukweli Sasa umedhihirika ,tunaingia mwezi wa watatu toka korona iingie Africa mashariki Hivyo kupelekea shughuli nyingi za uchumi kusimama Mfano sector ya utalii imesimama kabisa ambayo inachangia kwa kiasi kikubwa katika pato la Taifa ,na shughuli nyingine nyingi za kiuchumi zimesimama Kwasasa

Lakini Ukiangalia Mambo yanaenda barabara husikii ukosefu wa petrol, husikii wabunge wamekosa posho tofauti na Rwanda ambapo Viongozi wanakatwa mishahara ili kufidia mapungufu ya Serkali yaani kwa ufupi Mambo ni swadakta

Hii Ndio faida ya kiongozi anayewaza mambo ya kesho

Tunazidi kukuombea Rais wetu, Mungu aendelee kukupa busara na upendo ili uendelee kututumikia vyema sisi Watanzania.

Corona upite mbali uiache Tanzania ,Ndani ya May shughuli za kiuchumi zirejelee



Sent using Jamii Forums mobile app
Who paid you to write your rubbish in jF?
 
Mimi huwa namwamini sana Rais Magufuli katika hotuba si mtu wa porojo wala kupindisha maneno, anaongea ukweli

Unaweza kumwita Magufuli ni Mussa anayetupeleka katika Nchi ya ahadi, alinusa kuwa dunia itakumbwa na msuko suko wakajipanga mapem.

Kipindi cha nyuma kidogo Rais Magufuli aliwahi kuwaambia Wananchi wake kuwa Serkali ina akiba ya fedha za kigeni kuendesha Nchi kwa miezi sita bila kuzalisha,kuna baadhi ya wanasiasa walitilia mashaka maneno yake

Lakini ukweli Sasa umedhihirika ,tunaingia mwezi wa watatu toka korona iingie Africa mashariki Hivyo kupelekea shughuli nyingi za uchumi kusimama Mfano sector ya utalii imesimama kabisa ambayo inachangia kwa kiasi kikubwa katika pato la Taifa ,na shughuli nyingine nyingi za kiuchumi zimesimama Kwasasa

Lakini Ukiangalia Mambo yanaenda barabara husikii ukosefu wa petrol, husikii wabunge wamekosa posho tofauti na Rwanda ambapo Viongozi wanakatwa mishahara ili kufidia mapungufu ya Serkali yaani kwa ufupi Mambo ni swadakta

Hii Ndio faida ya kiongozi anayewaza mambo ya kesho

Tunazidi kukuombea Rais wetu, Mungu aendelee kukupa busara na upendo ili uendelee kututumikia vyema sisi Watanzania.

Corona upite mbali uiache Tanzania ,Ndani ya May shughuli za kiuchumi zirejelee



Sent using Jamii Forums mobile app
Akili yako ni sawa na corona. Kwani ww na Magufuli uwa mnazalisha nn. Walioua biashara ni nani kama siyo Magufuli. Naona karibu unaondolewa kwenye PAYROLL inabidi msifie tu hata yasiyosifiwa.
 
Mimi sio kichwa maji brother

Wewe kijiji chako Hakuna elimu bure? Umeme sawa na bure! Zahanati ! Barabara ! Hiyo Ndio elimu bure

Sent using Jamii Forums mobile app
I'm talk about 50 mil to all Tanzania villages

Elimu bure halafu hakuna madawati,hakuna walimu wa sayari na hisabati,vyumba vya madarasa vimejaa popo,vyooni mende wamejazana,tehema mlizo ahidi zipowapi?walimu hawana makazi,barabara feki za kichina,zahanati hazina vitanda wala dawa
 
Cases haziongezeki km mnavyotamani iwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia akili wewe..nchi hii kila mtu anataka mema...usidhani watu kukosoa mfumo basi awaipendi nchi yao. Awe CHADEMA,CCM au CUF wote wanaipenda nchi yao ila ikitokea tatizo lazma walio na mawazo tofauti wakosoe. Kwasasa tumefikia 171 wakati tulianza na mmoja ndugu. Nakushauri sana usiwe mtu wakidhani upande wako ndo sahii siku zote.
 
Lini Chadema ikaitakia mema serkali hii ?

Chadema Siwezi kuwaheshimu kamwe labda waombe msamaha kwa Watanzania
Tumia akili wewe..nchi hii kila mtu anataka mema...usidhani watu kukosoa mfumo basi awaipendi nchi yao. Awe CHADEMA,CCM au CUF wote wanaipenda nchi yao ila ikitokea tatizo lazma walio na mawazo tofauti wakosoe. Kwasasa tumefikia 171 wakati tulianza na mmoja ndugu. Nakushauri sana usiwe mtu wakidhani upande wako ndo sahii siku zote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ifike mahali Watanzania wajiamini,tuna kiongozi bora sana wa Nchi ,

Sisi Tanzania tumebahatika kupata kiongozi anayechukia rushwa sana

Ni aghalabu kwa Nchi za kiafrica kumpata kiongozi Mzalendo kama Magufuli, viongozi Wengi wa Africa ni wapenda rushwa, Wengi wanashirikiana na Mabeberu kuwaibia Wananchi

Lakini Rais Magufuli amejitenga na ubadhirifu huo anawatumikia Wananchi wake kwa moyo mmoja, hana muda wa kwenda kwa Mabeberu kula kodi za Wananchi

Awamu ya tano awamu iliyojaa uzalendo

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha propaganda za kitoto hapa! Hebu kaisome ripoti ya cag kwanza ndio uje na hivi vinginjera vyako vya STD iv! Au yule cag ni wa Kenya? Katafute wa kumfunga kamba za migomba kwani hapa jf wapo wenye uelewa Mpana kuliko wewe mlamba viatu!
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom