Ni ukweli usiopingika kuwa Raisi wetu wakati akiwa wizara ya ujenzi alitenda kazi kwa weledi mkubwa na speed ya kiwango ambacho hakijawahi kuonekana ktk wizara nyingine yoyote. Hii ilimjengea kuaminika na kupendwa Sana na Wananchi wengi nikiwepo Mimi binafsi.
Hii sifa ya kuaminika ndiyo iliyosababisha hata ushindi wake wa Uraisi.
Sasa hivi ktk Uraisi wake inaonekana mambo hayaendi sawa kabisa, kwa sababu kila mahali ni malalamiko hasa ya hali mbaya ya maisha, namaanisha uchumi wa watu unapukutika, ni jambo la hatari.
Wana JF Nina imani humu ndani kuna watu wenye taaluma na maono tofauti, Ebu kwa umoja wetu tumshauri Raisi wetu namna ya kurudisha ile Heshima yake na mapenzi yake kwetu Kama alivyo kuwa Waziri wa Ujenzi kwa nia njema kabisa.
Mimi binafsi ushauri wangu Muhimu kwake ni Kuhakikisha anamfukuza kazi Mkuu wa ushauri wa mambo ya Siasa
2- Kumfukuza kazi mshauri wake wa mambo ya uchumi haraka iwezekanavyo
3-Kumfukuza kazi haraka aliyemshauri kuhamia Dodoma wakati akijua kabisa bajeti hairuhusu.
4- Kumfukuza kazi na kumuweka ndani(jela)aliyemshauri kununua Ndege wakati akijua Kabisa hii biashara ni Cansa hata uipambe kwa maneno mazuri kiasi gani bado inabaki kuwa ni hasara kubwa kwa Taifa
5- Kumkamata haraka na kumfunga jela, pamoja na viboko 20 kila Siku ijayo kwa Mungu aliyemshauri kuingilia biashara ya Korosho.
6- Kuwaamuru wakuu wa Majeshi yote ya Tanzania kuwasaka popote walipo hawa Watu wanaoitwa WASIOJULIKANA. Usiku na mchana ndani ya Mwezi Mmoja wote wawe wamekamatwa. Hawa Adhabu Yao ni kupigwa Risasa Hadharani Tv Zote zikirusha live Kama alivyouwawa Osama.
Mimi Nina Imani akifanya hayo, Imani ya Wananchi inaweza kurejea. Lakini kwa hali ilivyo sasa, wananchi wamejenga majeraha makubwa sana miyoyoni Mwao, Siyo wa vyama vya upinzani Tu, wengi wanaokwazwa ni wa Ccm, na wasio na Vyama Kama Mimi. Tunataka Airudishe Nchi ktk upendo aliotuachia Baba wa Taifa ambao Mwinyi, Mkapa, na Kikwete waliurithi na wakauendeleza na wakamuachia JPM.
Hii sifa ya kuaminika ndiyo iliyosababisha hata ushindi wake wa Uraisi.
Sasa hivi ktk Uraisi wake inaonekana mambo hayaendi sawa kabisa, kwa sababu kila mahali ni malalamiko hasa ya hali mbaya ya maisha, namaanisha uchumi wa watu unapukutika, ni jambo la hatari.
Wana JF Nina imani humu ndani kuna watu wenye taaluma na maono tofauti, Ebu kwa umoja wetu tumshauri Raisi wetu namna ya kurudisha ile Heshima yake na mapenzi yake kwetu Kama alivyo kuwa Waziri wa Ujenzi kwa nia njema kabisa.
Mimi binafsi ushauri wangu Muhimu kwake ni Kuhakikisha anamfukuza kazi Mkuu wa ushauri wa mambo ya Siasa
2- Kumfukuza kazi mshauri wake wa mambo ya uchumi haraka iwezekanavyo
3-Kumfukuza kazi haraka aliyemshauri kuhamia Dodoma wakati akijua kabisa bajeti hairuhusu.
4- Kumfukuza kazi na kumuweka ndani(jela)aliyemshauri kununua Ndege wakati akijua Kabisa hii biashara ni Cansa hata uipambe kwa maneno mazuri kiasi gani bado inabaki kuwa ni hasara kubwa kwa Taifa
5- Kumkamata haraka na kumfunga jela, pamoja na viboko 20 kila Siku ijayo kwa Mungu aliyemshauri kuingilia biashara ya Korosho.
6- Kuwaamuru wakuu wa Majeshi yote ya Tanzania kuwasaka popote walipo hawa Watu wanaoitwa WASIOJULIKANA. Usiku na mchana ndani ya Mwezi Mmoja wote wawe wamekamatwa. Hawa Adhabu Yao ni kupigwa Risasa Hadharani Tv Zote zikirusha live Kama alivyouwawa Osama.
Mimi Nina Imani akifanya hayo, Imani ya Wananchi inaweza kurejea. Lakini kwa hali ilivyo sasa, wananchi wamejenga majeraha makubwa sana miyoyoni Mwao, Siyo wa vyama vya upinzani Tu, wengi wanaokwazwa ni wa Ccm, na wasio na Vyama Kama Mimi. Tunataka Airudishe Nchi ktk upendo aliotuachia Baba wa Taifa ambao Mwinyi, Mkapa, na Kikwete waliurithi na wakauendeleza na wakamuachia JPM.