Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,015
mwaka wa tatu tangu aingie madarakani hajaongeza hata ndululu kweye mishahara yao. hali ya maisha ya watumishi imekuwa hohehahe.
huku hali ya maisha ikiwa imebadilika. mfano waaoishi kwenye nyumba za kupanga kodi zinapada, karo za shule na vyuo zinapa kila mwaka.
mazingira ya kazi ni duni huko halashaur ..
katika utawala wake watumishi wamenyanyaswa na kuitwa majina mabaya mf wazembe na wezi rejea ziara za Rc makonda
Hakuna kupandishwa madaraja wala motisha.
vyama vya wafanyakazi vimetiwa kabar ili visifurukute kuhoji (aliwaita viongozi wa vyama) na kuwapa mlungula mwanzoni kabisa nk
sasa leo anaposema anawajali wafanyakazi anamaanisha wafanyakazi gani? hawa wa umma au wale wanaomlinda na magurueti ?
maana miongoni mwa maraisi katili kwa watumishi yeye ni number moja! kama kweli anawajali mbona anawakamua PE huku yy na wakubwa wenzake hawalipi hata kumi? iweje raisi huyu mzalendo asiamuru viongozi wanaolipwa milions wakatwe PE ? mbona hajapunguza PE
raisi asiwahadae watumishi awaache wameshazoea kudanganywa , kunyanyaswa na kukandamizwa!
Heri ya mwaka mpya.
ndimi lofa.
huku hali ya maisha ikiwa imebadilika. mfano waaoishi kwenye nyumba za kupanga kodi zinapada, karo za shule na vyuo zinapa kila mwaka.
mazingira ya kazi ni duni huko halashaur ..
katika utawala wake watumishi wamenyanyaswa na kuitwa majina mabaya mf wazembe na wezi rejea ziara za Rc makonda
Hakuna kupandishwa madaraja wala motisha.
vyama vya wafanyakazi vimetiwa kabar ili visifurukute kuhoji (aliwaita viongozi wa vyama) na kuwapa mlungula mwanzoni kabisa nk
sasa leo anaposema anawajali wafanyakazi anamaanisha wafanyakazi gani? hawa wa umma au wale wanaomlinda na magurueti ?
maana miongoni mwa maraisi katili kwa watumishi yeye ni number moja! kama kweli anawajali mbona anawakamua PE huku yy na wakubwa wenzake hawalipi hata kumi? iweje raisi huyu mzalendo asiamuru viongozi wanaolipwa milions wakatwe PE ? mbona hajapunguza PE
raisi asiwahadae watumishi awaache wameshazoea kudanganywa , kunyanyaswa na kukandamizwa!
Heri ya mwaka mpya.
ndimi lofa.