Dodoma sasa imefeli vip? Mbona serikali iko hukoMagufuli kaanzisha baadhi ya miradi na pengine kwa nia njema lakin anatumia nguvu sana kutafta hela kwa njia yeyote hasa kuwakamua watanzania ili hela ipatikane apate kutimiza miradi hiyo
Sehem anazolazimisha hela kutoka ni
1.Hela ya wastaafu ya NSSF, kawalazimisha mpaka sasa kwamba watapata 25% badala ya 100% nyingine kwenye miradi yake
2.Kodi zisizo na kipimo
3.Matajiri kushurutishwa
4.Tozo zisizokuwa za lazima mfano kwenye ndege zinazoruka Tanzania kwa sasa wanatozwa 100,000,000 kwa mwaka
5.Gharama za kuendesha taasisi za kifedha zimepanda Mara tatu kulinganisha na awali, na ushuru wa kuendesha benki imekuwa juu sana kwa mwaka ,hasa za binafsi
Miradi itakayosimama baada ya mwaka 2025 ni
1.Elimu bila malipo ambayo inacost taifa 23 billion kwa mwezi yaan 23,000,000,000 kila Mtanzania hapo kwa mwezi anachangia 460 Tsh maana watu 50,000,000 ukigawa kwa hizo bilion ,
2.SGR inaweza ikaishia katikati
3.Kupakia Dodoma kunaweza kufeli
Nadhani kuna miradi mingine unaijua itafeli,
Britannica
2020 kama utasubiriwa utaratibu wa kiungwana. Lakini naogopa sana tunakoelekea hii miaka miwili tunaweza kufikia watumishi wa umma wakakosa mishahara na sijui itakuwaje ikikifikia wale chuichui kukosa mshiko!Anang'atuka lini mkuu?
Sasa hivi (sijui ni amri?) hiyo imekuwa ndio desturi. Hata maafisa kilimo wakishukuru mvua ni nzuri Kwa msimu huu badala ya kumshukuru Mungu wenyewe wanataja juhudi za Magu! Hakika huu ugonjwa Magu maniac uliopandikizwa umetamalakiSASA HIVI KILA KIONGOZI ANAYETOA HOTUBA MWISHONI ANAAMBIWA AMSIFIE MAGUFULI..HUU NI UCHIZI...MKUU WA WILAYA YA KOROGWE JANA KAMSHUKURU MAGUFULI KWA MSAADA ULIOTOLEWA NA NORWEGIAN CHURCH AID, WLAC NA SAKINA LYOKA...AMESHINDWA KUWASHUKURU HAWA WATATU ANAMSIFIA BOSI WAKE ALIYEMTEUA..
Endelea kuota,mpaka 2020 SGR itakua imeshafika kahama,mpaka 2025 mradi utakua umekwisha2.SGR inaweza ikaishia katikati
3.Kupakia Dodoma kunaweza kufeli
Mi nasubiri kwa hamu siku ya uzinduzi.sijui atazungumzia fursa gani zinanazolengwa kuleUwanja wa ndege wa chato tutawapa wananchi watumie kukaushie mahindi na maharage
Lakini si mulilaumu kuwa Lowassa ana visasi ili kumhalalisha Membe? Mungu alivyowaajabu akawaumbua wote. Waliobaki kulilia mitandaoni ni Team Membe ambao hawana Kura hata moja. Magufuli na mtaji wa kura 8m+ na Lowassa 6m+. Mbona hawa hawangombani?Miradi kufa hicho ni kitu kidogo. Kuna mambo makubwa yamekufa hata kabla hajatoka:
1. Utu na utamaduni wa mtanzania wa kupendana bila kujali itikadi utakufa kabisa
2. Yule ajaye ana kazi ya kurudisha utanzania halisi wenye ile kauli mbiu ya Nyerere ' Kila mtu anastahili heshima na kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake"
3. Mshikamano wa kitaifa utakuwa haupo tena TZ
4. Chuki itakuwa imetawala miongoni mwa watanzania
5. Visasi miongoni mwa jamii vitakuwa ndio chakula cha kila siku.
6. Upendo miongoni mwa watanzania utakuwa historia
7. Ipo haja ya kuanza mapema kukemea mbegu mbaya inayopandwa kwenye jamii yetu.
8. Viongozi wa dini wakemee hii hali badala ya kuwa na mahubiri ya kinafiki ya kusiffia wakati ukweli wanauona.
Chattle Airport watakuwa wanatua popo.Magufuli kaanzisha baadhi ya miradi na pengine kwa nia njema lakin anatumia nguvu sana kutafta hela kwa njia yeyote hasa kuwakamua watanzania ili hela ipatikane apate kutimiza miradi hiyo
Sehem anazolazimisha hela kutoka ni
1.Hela ya wastaafu ya NSSF, kawalazimisha mpaka sasa kwamba watapata 25% badala ya 100% nyingine kwenye miradi yake
2.Kodi zisizo na kipimo
3.Matajiri kushurutishwa
4.Tozo zisizokuwa za lazima mfano kwenye ndege zinazoruka Tanzania kwa sasa wanatozwa 100,000,000 kwa mwaka
5.Gharama za kuendesha taasisi za kifedha zimepanda Mara tatu kulinganisha na awali, na ushuru wa kuendesha benki imekuwa juu sana kwa mwaka ,hasa za binafsi
Miradi itakayosimama baada ya mwaka 2025 ni
1.Elimu bila malipo ambayo inacost taifa 23 billion kwa mwezi yaan 23,000,000,000 kila Mtanzania hapo kwa mwezi anachangia 460 Tsh maana watu 50,000,000 ukigawa kwa hizo bilion ,
2.SGR inaweza ikaishia katikati
3.Kupakia Dodoma kunaweza kufeli
Nadhani kuna miradi mingine unaijua itafeli,
Britannica
Aliyesema nchi ni ya kanda ya ziwa ni nani? Mbona mnajishitukia?Lakini si mulilaumu kuwa Lowassa ana visasi ili kumhalalisha Membe? Mungu alivyowaajabu akawaumbua wote. Waliobaki kulilia mitandaoni ni Team Membe ambao hawana Kura hata moja. Magufuli na mtaji wa kura 8m+ na Lowassa 6m+. Mbona hawa hawangombani?
Anayepinga miradi ya maendeleo haitakii nchi hii mazuri. Kama kuna ubaguzi tuzungumze, haya yanazungumzika. Sana sana tuongee na hisia kuliko uhalisia. Mimi kwangu mimi naona serikali ni ya watu wote. Siyo ya kanda ya ziwa ni watanzania. Wateule wametokea sehemu zote za nchi. Nchi yetu ina mshikamano tuwache kuongozwa na chuki.
KwaniniWewe ndio utafeli
NaniHata hizo ndege mrithi wake anaweza kuamua kuzikodisha.
Aisee leo umeweka rekodi ya kuzusha ya kwako mwenyewe.Nani
Sijazusha ni habari nimeona sehemAisee leo umeweka rekodi ya kuzusha ya kwako mwenyewe.
Lakini wewe ndiyo umeileta JF na ukaijazia ushabiki na kuiwekea mashamsham ya kiushindi!!Sijazusha ni habari nimeona sehem
Ni kweli mimi.ndo nimeileta JF kama ambavyo wewe waweza pata habari sehem ukaletaLakini wewe ndiyo umeileta JF na ukaijazia ushabiki na kuiwekea mashamsham ya kiushindi!!
kilaza katika ubora wako wa kubwabwajaMagufuli kaanzisha baadhi ya miradi na pengine kwa nia njema lakin anatumia nguvu sana kutafta hela kwa njia yeyote hasa kuwakamua watanzania ili hela ipatikane apate kutimiza miradi hiyo
Sehem anazolazimisha hela kutoka ni
1.Hela ya wastaafu ya NSSF, kawalazimisha mpaka sasa kwamba watapata 25% badala ya 100% nyingine kwenye miradi yake
2.Kodi zisizo na kipimo
3.Matajiri kushurutishwa
4.Tozo zisizokuwa za lazima mfano kwenye ndege zinazoruka Tanzania kwa sasa wanatozwa 100,000,000 kwa mwaka
5.Gharama za kuendesha taasisi za kifedha zimepanda Mara tatu kulinganisha na awali, na ushuru wa kuendesha benki imekuwa juu sana kwa mwaka ,hasa za binafsi
Miradi itakayosimama baada ya mwaka 2025 ni
1.Elimu bila malipo ambayo inacost taifa 23 billion kwa mwezi yaan 23,000,000,000 kila Mtanzania hapo kwa mwezi anachangia 460 Tsh maana watu 50,000,000 ukigawa kwa hizo bilion ,
2.SGR inaweza ikaishia katikati
3.Kupakia Dodoma kunaweza kufeli
Nadhani kuna miradi mingine unaijua itafeli,
Britannica
Hata mimi huyu bwana amenishangaza kwa inshu kubwa kama hiyo lazima ingeruka toka magogoni na ungeona kila mkoa ukitangaza maandamano ya kumpongeza mtukufu.Aisee leo umeweka rekodi ya kuzusha ya kwako mwenyewe.