Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,773
Naona unatabiri kwa kutumia iluganga uliorithi kwa babu yako. Watu wamethubutu na wameweza na wanasonga mbele we endelea kuota ndoto tuuu.
Taabu na mateso lazima viwepo kwa maslahi ya vizazi vijavyo, nakushauri we zaa tuu uwezavyo.
Reli ya kati ilijengwa na watanzania kwa mateso makubwa sana yasiyoelezeka lakini waha wamenufaika nayo pasipo kujua mateso ya mababu zao kwa faida ya vizazi vyao.
Taabu na mateso lazima viwepo kwa maslahi ya vizazi vijavyo, nakushauri we zaa tuu uwezavyo.
Reli ya kati ilijengwa na watanzania kwa mateso makubwa sana yasiyoelezeka lakini waha wamenufaika nayo pasipo kujua mateso ya mababu zao kwa faida ya vizazi vyao.