Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,016
- 54,299
Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na MasikioniHatimae baada ya kufeli kwa hii miradi ndipo hapo kutaibuka bora Magu alijaribu, wakati huo mwenzie atakuwa katika hali mbaya itakayombebesha zigo la lawama kwa wa tz, na kuonekana mzigo.