Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

ila waislam tuuujiandae kwani huyu
mama ni mdini nasijui
karudishwaje ? hao ndo mambo ya
kitengo? mmh aya waislam
tutaisoma namba adui yetu karudi!!!!

Mtaisoma kweli Kali mbona hata sie kipindi cha jk tumeisoma number
 
Waislam mwaka huuu waelekee jiwe tuuuu


Kassim Majaliwa aliukana uislam na aka ritadi kwenda kwenye ukristu



Lukuvi anachukia waislam na wazanzibari na hakuficha kwenye video yake kanisani


Ndaluchako....nadhani mnajua skendo yake daudi ya waislam.

Lakini yoke haya tumejitakia wenyewe


Mkapa pamoja na ukatoliki wake alitufaaa zaidi kuliko JK


Allahu yaaa Allaaam

Hahahahaha,mtakoma..mwaka wenu kuisoma number,halafu leteni chokochoko kama kipindi cha jk ndo mtajua
 
Atakuwa ametubu dhambi zake, maana ngazi aliachia mwenyewe. Ni heri ametubu kiukweli lakini kama ametubu kiuongo-uongo ataumbuka tu kama alivyoumbuka Lowassa.

Mtaumbuka nyie wanamajungu...ndalichako she is the best,hata kwa albadiri mlimshindwa
 
Naamini ubora wa elimu unakuja na huyu ni mtu wa pili baada ya Makwetta, kipindi kingine chote we had no Ministers
 
Ila hapo Mali hai asili bora pangebaki palivyo kuliko huyo mteule
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu
Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano yautawala wake



Uteuzi huo ni kama ifuatavyo;


1. Profesa Jumanne Maghembe - Ameteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii.

2. Dkt. Philip Mpango - Ameteuliwa kuwa Waziri wa Fedha na Mipango (Ni baada ya kumteua kuwa Mbunge).

3. Mhandisi Gerson Lwenge - Ameteuliwa kuwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji.

4. Dkt. Joyce Ndalichako - Ameteuliwa kuwa Waziri wa Elimu,Sayansi,Teknolojia na Ufundi.(Ni baada ya kumteua kuwa Mbunge)

5. Mheshimiwa Hamad Masauni - Ameteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi

6. Prof.Makame Mbarawa - Amehamishwa kutoka Wizara ya Maji na Umwagiliaji na kwenda Wizara ya Ujenzi, uchukuzi na Mawasiliano

Katika hatua nyingine Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewatakia heri watanzania wote katika Sikukuu za Maulid, Christmas na Mwaka Mpya na kuwataka washerehekee kwa amani na utulivu.

Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
23 Desemba, 2015

attachment.php

Duuuuu hapo kwa Ndalichako waislamu wamekwisha,mdiniiii kupita maelezo huyo mama.
 
Ndalichako ni mdini sana asipodhibitiwa tumekwisha wallah nakwambia
Mlisema mtaandamana kwenda kumg'oa NECTA, msoga akawasikia na kumtoa kiaina, sasa wenye akili wasio wa pwani pwani wamemrudisha na amepewa rungu zaidi. Andaeni maandamano kutoka msoga hadi wizarani.
 
Rais Magu umenipa zawadi ya sikukuu kwa kumteua Dr. JOYCE kuwa waziri wa Elimu. Kati ya teuzi zote hapa umelamba dume. Naamini Elimu yetu sasa itatoka ICU
 
Kuna daladala moja imeandikwa maneno haya "usiyempenda kaja" nadhani hii ina randana kabisa na huu uteuzi. Wasiye mpenda kaja!
 
Back
Top Bottom