Rais Magufuli akabidhiwa rasmi ofisi ya Rais na Rais mstaafu Dr. Kikwete

attachment.php

kiongozi anayekabidhi ofisi hapaswi kuangalia chini kama hivi, bora ameenda tu!
 
When was this wakuu?
Si aliagwa na kuondoka na Chopa uyu karudi tena kufanya nini?
 
Umesahau sifa yetu kuu Watanzania ya kujikombakomba tufikiriwe?
Samahani, mimi huwa naogopa sana kulumbana na Malaika kama wewe.

Na ndio mfumo wa maisha yangu ya kila siku, si hapa tu JF.

Labda tu nisijue jinsia ya huyo ninaepelekana nae.

Sasa Mlimbwende Nifah kama mimi najikomba kwa Rais Magufuli basi wote itakuwa tunajikomba, sababu hata wewe unajikomba sana kwa Mheshimiwa Lowasa.

Kama kujadiliana nakukaribisha, karibu sana tujadili, tucheze au kingine chochote ruksa.

Ila kama unakuja kimalumbano nakuahidi. Sitojibizana na wewe.

Ahsante, nakupenda na Ubarikiwe sana, Amin
 
Samahani, mimi huwa naogopa sana kulumbana na Malaika kama wewe.

Na ndio mfumo wa maisha yangu ya kila siku, si hapa tu JF.

Labda tu nisijue jinsia ya huyo ninaepelekana nae.

Sasa Mlimbwende Nifah kama mimi najikomba kwa Rais Magufuli basi wote itakuwa tunajikomba, sababu hata wewe unajikomba sana kwa Mheshimiwa Lowasa.

Kama kujadiliana nakukaribisha, karibu sana tujadili, tucheze au kingine chochote ruksa.

Ila kama unakuja kimalumbano nakuahidi. Sitojibizana na wewe.

Ahsante, nakupenda na Ubarikiwe sana, Amin

Hahahahahaaa nimeishia kucheka mkuu....
One love.
 
Huyu jamaa si alishaaga!! Lazima atarudi tena akidai 'eti' alisahau saa yake.
 
...indeed...unakabidhi ofisi na vicheko kama rais mstaafu wa JMT....wakati kule zenj hawamjui rais wao hadi sasa....alafu unafanya mambo kama kila kitu kiko shwari....Unashangaa hata issue ya zenj haizungumzwi kwenye makabidhiano....

..Alafu this guy keeps on coming back to ikulu...as if kuna kitu amesahau....kwa mda tulikua tunasikia mara ameondoka ikulu na helkopta....mara ameagana na wafanyakazi wa ikulu.....na blah blah nyingine kibao.......kumbe alikua hajakabidhi ofisi ikulu!! ..sasa JPM alikua anafanyaje kazi!!..this is amazing....

..Magufuli ana kazi kweli kweli....


Rais wa Jamhuri hamtangazi mshindi wala hana mamlaka ya kuingilia uchaguzi wa Zanzibar, kinachopaswa kufanywa siyo kuingilia bali kushauri, kumbuka Zanzibar kuna Tume huru ambayo ina wajumbe toka CCM na CUF ambao wanavua mashati kutwangana makonde.

Kama kuna ujinga umefanyika basi CUF wanahusika kwani wameshiriki kikamilifu kujitenga kwa kupitisha Katiba yao iliyowapa mamlaka kamili.

Tangazo la kurudiwa Uchaguzi limeshatolewa ktk Gazeti la Serikali.

Muhimu acha kuugua Magufuli ndiye Rais wa Tanzania.
 
Ukizaliwa TZ ujifunze kutokushangaa mishangazo, kwasababu wanaotushangaza hawakotayari kutumalizia mishangao japo wanajua kuwa wanatushangaza na hakuna sababu za lazima za wao kutuendelezea mishangao.
 
Huyo Ombeni Sefue nae angetoka tu, Magufuli aanze upya na sio kutumia huyo jamaa hapo ikulu wakati alikua na Kikwete na wamezingua kias chake kiutendaji
Unamwonea Sefue bure tu. Yeye ancheza ngoma ya bosi wake. Ukumbuke ni mwajiriwa an anatakiwa kutunza familia yake. Hawezi kwenda kinyume na bosi wake.
 
Hongera rais mstaafu Dk Kikwete kukabidhi ofisi kwa rais wetu mpya, kipenzi cha wenye akili na watu makini, wachukia ufisadi, Dk Magufuli.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Yani Magufuli anavyojiweka mbele ya Kikwete utasema yeye si rais. kwa hali hii kweli hata akiambia afanye jambo si sahihi atakataa kweli?
 
Sasa aliagwaje majuzi kwa mbwembwe nyingi akiondoka rasmi Ikulu bila kukabidhi ofisi?. Na yote alotolea tamko Magufuli tangu hapo yalikuw akinyemela tu au vipi? Sijui utaratibu huu wafanana na upi au wapi kama siyo kituko tu!

Dah! Yani hawa jamaa kwa vituko tu hawajambo....
Juzi juzi hapa JK aliaga na kuondoka ikulu kwa mbwembwe nyiiiingi na kupanda ndani ya helikopta pamoja na mkewe watu tukaaminishwa kwamba Mzee sasa anaelekea zake msoga kupumzika wakati kumbe hata ofisi alikuwa hajakabidhi!!!...
Sasa leo karudi tena kutoka msoga kukabidhi ofisi!!!!..
 
Hii mbona inashangaza kwani makabidhiano yalikuwa bado?

SMZ imetangaza rasmi kufutwa uchaguzi sawasawa na mapendekezo ya tume leo.
Nadhani Kikwete alitaka asimtwishe mzigo wa Zanzibar Magufuli ndo maana akachelewa kumkabidhi ofisi.
 
Wiki iliyopita kulikuwa na picha za JK akiondoka Ikulu. Kumbe alirudi usiku!!!!

Wiki iliyopita kulikuwa na picha za Magufuli akiwa ofisini Ikulu. Kumbe alikuwa bado

Wiki zilizopita Magufuli alikagua grawide kama Amir jeshi mkuu, kumbe alikuwa hajapewa Uamir!

Anyways pengine kuna kitu sijaelewa!
 
Back
Top Bottom