mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,848
- 3,483
NI BUSAWE SIO MAJIMOTOSi
Ni hivi, dkt matarajio aliletwa nchini na JK, baada ya kina muhongo kusema kuna mchapakazi namfahamu yupo U.S.A!
Kijana wa watu alitoa tender kwenye kampuni ambayo alikuwa anawajua wapo vizuri kwa kazi, na kwa bei ndogo!
Alikataa tender ya waliokuwa wamependekeza, akasema anawajua hawana utaalamu huo, na bei zao zilikuwa juu! Kama kawaida ya mibongo, ilivyoona kakataa, ikaunda jungu kuwa kapatia kampuni tenda kinyume na sheria za PPRA!
Kijana wa kwetu majimoto MARA yakamkuta! Ila hana hamu nao!