Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,305
- 105,581
Mr. Clean my foot.Hii stori niliisikia toka kwa reliable source moja hivi miaka ya 96/97 hivi.
Wewe ni mtu wa pili sasa!
Ndo ‘Mr. Clean’ huyo....
Mr. Clean my foot.Hii stori niliisikia toka kwa reliable source moja hivi miaka ya 96/97 hivi.
Wewe ni mtu wa pili sasa!
Ndo ‘Mr. Clean’ huyo....
Lingine analoweza kuandika ni lile la kuvinjari kama kapagawa kwa pesa za walipa kodi.
Ndo ‘Mr. Clean’ huyo....
Hicho yaonekana kimeandikwa na mtu mwingine...
Hivi jana au leo niko Tanzania hii hii?Katika uzinduzi wa kitabu cha Rais mstaafu Benjamin Mkapa uliofanyika mapema leo, Rais John Magufuli amewahimiza viongozi wastaafu kuandika vitabu vya maisha yao.
Hususan, Rais Magufuli amesema atafurahi kusoma kitabu cha Maalim Seif Sharif Hamad.
Kwa kweli hata mimi nitafurahi sana, mno, kukisoma kitabu cha Maalim Seif.
Harakati zake za kupigania demokrasia zimeanzia mbali sana.
Na kilele chake nadhani kilikuwa ni ule uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi wa mwaka 1995!
Naamini Maalim alishinda urais wa Zanzibar.
Ila kwa inda na figisu ambazo inadaiwa ziliongozwa na Rais mstaafu Nyerere, ushindi wa kupikwa akapewa ‘Komandoo’ Salmin Amour! Hivi yuko wapi huyu mtu siku hizi??
Lakini, kweli Maalim anaweza kuandika kitabu chake na kutiririka kwa uhuru bila ya serikali kutaka kumfanyia cencorship?
Kwa mfano kumuamuru Jecha afute uchaguzi halali ambao mshindi tayari anajurikana wewe unaweza kuyaandika haya?Kumbe alizindua kitabu chake Marekani. Zaidi ameandika kuhusu familia yake na maisha yake kama rais. Lakini amekiri kwamba kuna mengi hakuandika ambayo hayasemeki. Sasa rais mstaafu anaogopa nini kuandika baadhi ya mambo? Maybe ni siri za taifa. Je, hizo ni siri kweli au udaku? JK hawezi kukuangusha jinsi unavyomfikiria.
Kama JPM amedhamiria kweli SSH aandike kwa uhuru na uwazi kuhusu maisha yake nampongeza sana. Kwasababu wapo wengi kama SSH ambao pia wangependa kuandika lakini sote tunajua kwanini hawaandiki.Hivi jana au leo niko Tanzania hii hii?
Tanzania inayopiga kufuli magazeti tu kwa kuandika juu ya harakati za akina S. S. H.
Tanzania inayowakamata na kuwashitaki waandishi wa habari za siku hadi siku kuhusu haki za binadamu na utawala bora?
Halafu SSH aandike kitabu na JPM akibariki!
Labda naota!
Vinginevyo labda SSH anapewa ujumbe kwamba 'na wewe kaa kando kama huyu mstaafu uandike "WIMBO".
Sio kitabu!
Naam, kwa mujibu wa Profesa Kabudi. Lakini nafuta kauli, sitakiwi kusema hayo kwa kweliBen Saanane ni marehemu?
Hayo ni maoni yako. mbona wengi wanataka kusikia/kusoma kuhusu maisha yake? kama mtu amealikwa HARD TALK na pia vyombo mbalimbali vya kimataifa, ni wazi anajulikana duniani kuliko wengi unaowafikiria wewe. usichanganye ushabiki wako na chuki zako, na ukweli. wewe unamdharau Tundu Lissu lakini wapo wengi wanaompenda. hiyo ni haki yao huna haki ya kuwaingilia.Siyo kila mtu tu anaweza/stahili kuandika biography, sasa Tundu Lisu aandike kuhusu nini? Bora hata Mbowe ana historia kidogo lkn bado hana cha kuandika, labda historia ya Wamachame.
Wewe je, unaweza kuandika hata kuhusu hicho kijiwe chako walau..??Siyo kila mtu tu anaweza/stahili kuandika biography, sasa Tundu Lisu aandike kuhusu nini? Bora hata Mbowe ana historia kidogo lkn bado hana cha kuandika, labda historia ya Wamachame.
Hao hawana chochote cha kuandika.Mimi ningefurahi sana kusoma vitabu vya hawa:
1) Freeman Mbowe
2) Tundu Lissu
3) Mawazo, Ben Saanane, Mwangosi na Filikunjombe. Hawa nimewaweka pamoja kwa sababu ni marehemu, wengine wanaweza kufanya tafiti na kuandika juu yao.
That's more personal ma'am! Hata wewe huwezi kusimulia yote uliyopitia maishani. Oligwa hene?Hivi Mkapa kaandika kuwa alitengana na Anna Mkapa ? Walirudiana tu Mkapa alipotaka kugombea Urais. Kama hajaandika hili basi katuficha mengi.
What does it mean when you say My life ? Umesoma kitabu cha "Becoming Michelle Obama" ?That's more personal ma'am! Hata wewe huwezi kusimulia yote uliyopitia maishani. Oligwa hene?
"Kuandika kitabu", au "kuandikiwa kitabu."
Hao mawaziri hata makala tu magazetinihawawezi wataandika vitabu kweli?
Tanzania tunatabia mbaya sana ya kutopenda kujisomea na kuandika kuhusu mambo mbalimbali.
Nionyeshe waziri mmoja, hata hao maprofesa, aliyeandika tu makala kuhusu mambo yanayohusiana na wizara yake ili watu wayasome.
Sio mawaziri tu, Makatibu wakuu, Wakurugenzi, n.k.; huko mawizarani, hakuna anayeandika chochote.
Daily News ipo hapo, ulishaona makala yoyote ya hawa watu?
Huko Vyuo vikuu, kwenye wasomi, ndio acha kabisa. Hata kama wanachapisha kwenye vijarada vyao ili wapandishwe vyeo, ni vipi wasitafsiri habari hizo hizo ili hata raia wa kawaida azisome magazetini?
The whole thing is sanitized. 'Uongozi Institute' compiled the information through interviews.
Mkapa was a journalist, he is in a position to pen down his own thoughts with little help and we will read what is written down by him.
Kwa taarifa yako Mbowe ni mwandishi mzuri sanaMimi ningefurahi sana kusoma vitabu vya hawa:
1) Freeman Mbowe
2) Tundu Lissu
3) Mawazo, Ben Saanane, Mwangosi na Filikunjombe. Hawa nimewaweka pamoja kwa sababu ni marehemu, wengine wanaweza kufanya tafiti na kuandika juu yao.