Rais Magufuli afanya uteuzi wa Mabalozi, Wakuu wa Mikoa, Makatibu & Manaibu Katibu: Wamo Mnyeti, Mangu, Kashilila..

Mlikuwa nae ndani ya ccm, pamoja na polisiccm lakni mkamwacha.
 
Tuna wapinzani wa ajabu zaidi kwa kukubali kumteua fisadi kugombea urais ambapo kwa miaka mingi wakituaminisha ni fisadi asiyesafishika.
Yaani mlilobakisha ninyi lowminded people ni kumtaja Lowasa ilikuficha upu.mbavu wenu. Kama lowasa ni fisadi mpelekeni mahakamani, sasa kuna mahakama ya mafisadi mnasubiri nini?
 
Watanzania tulimkataa mtuhumiwa wa ufisadi aliyepewa nafasi Na chadema kugombea urais 2015
 
Na yule aliyevamia shamba la mtu na kung'oa mazao nadhani kaukwaa uRC pia. JPM banaa
 
Tuna wapinzani wa ajabu zaidi kwa kukubali kumteua fisadi kugombea urais ambapo kwa miaka mingi wakituaminisha ni fisadi asiyesafishika.
Nyie Lowassa atawapindisha kibyongo. Unaposema kugombea ni tofauti na kiongozi wa nchi. Suala la Lowassa linawahusu watu wa CHADEMA peke yao wakati suala la uteuzi wa Mnyeti linaleta utata kuhusu nini hasa maana ya maadili kwenye nchi yetu.

Wewe ni mara ngapi umesikia watu wakisimamishwa kazi kwa tuhuma za ufisadi? Halafu Kikwete akiwa Rais alishasema Lowassa siyo fisadi!
 
Kapongezwa na mkuu inaonekana alitumwa kazi hiyo
 
Nicolaus .b.w.mkapa ......naona wamechaguana kweli nchi hii keki inaliwa na wenyewe

Ova
 
Hata mZinzi akitubu anaiona mbingu sembuse huyu yuko duniani

[HASHTAG]#pambananahaliyako[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…