kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Basi wewe ni mtakatifu na unajua kila kitu.cheap pathetic talk
Basi wewe ni mtakatifu na unajua kila kitu.cheap pathetic talk
Hilo ndo balaa lenyewe, mtaalam kuchaguliwa kwenye administrative posts na kuacha kuhudumia walengwa.
Lini tutajifunza kuwa wataalam si administrators, na hiyo kazi hawaiwezi.
Kwani we wa wapi ndugu? Hicho ndio cha muhimu,kama ni wa NorthPole sahau ulaji,sasa hivi ulaji unaletw kwa Mtumbwi,sasa kibosho hakuna hata chemChem achilia mbali ziwa,hulambi kitu!Mimi sijui nitaula lini?
Yaani ile majani iliyopewa kibali kule Kanada?Ngw'anza anakula msuba basi kama ulikuwa hujui nakupa hiyo.
Dah kuna watu mna akili mbovu, unaamini nini na wewe boya?naweza kuamini
Atajifunza huko huko kutoka kwa wazoefuAnajua biashara?! Nchi hii ina watu wenye IQ ndogo sana! Mtu akisikia tu Doctor basi anadhani ni bingwa ktk kila kitu! Mo Dewji ana Masters ya Georgetown University au Alhaji Aliko Dangote ana elimu ya kawaida lakini uliza "Wealth" walio create! Unampa mtu kusimamia biashara za Kimataifa huku hajawahi hata kuendesha genge mtaani! Poor Tanzania!
Kwanza Bodi ni posho ya kikao tuu vikao ni mara 4 kwa mwaka, hakuna lolote bora ukalime vitunguu saumuEti "ameula"..
As if kuna cha maana cha maslahi kwenye kazi za serikali...
Sema ameenda kuhudumu...
"Kuula" kwenye kazi za serikalini ni hali na tabia fulani hivi ya njaa na umasikini....
"Kuula" ni kufanya biashara na kufanikiwa nothing else!
Kila siku teuzi mbona huku kigoma kunawastafu wengi tena wamajimbo mbona hawateui au imani zao kikwazo
Unazan hajui basi kakaNgw'anza anakula msuba basi kama ulikuwa hujui nakupa hiyo.