fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,427
- 7,977
Saana tu Yaan. Ni moja ya mawaziri nnaowakubali sio muongeaji saana cz anajua anachokifanya, hiyo wizara inahitaji Akili na Utashi wa mtu na sio sheria kama magu anavyodhaniTena amesafisha sana mzee na mtoto wake walikochafua
Kabudi amewekwa front line kupambana na harakati za Lissu.
Washauri wa Magu sjui wanamshauri nini. Ngashoka tikiiMahiga mtu makini sana, issue ya lissu anajua ni ndogo sana kwa serikali kuanza kujibizana. Hajaongea kabisa.
Pili kama kuna nia ya kumdhuru lisu, Mahiga hawezi kufanya kazi hiyo hata kwa pesa, ni wazee wachache sana walio fundishwa na nyerere juu ya uadilifu.
Tatu Mahiga sio mtu wa kuendeshwa, anafanya kazi kulingana na taratibu za kazi.
Huyu mlopokaji sijui atawasomea zaburi wazungu walete pesa za makinikia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali makini kabisa ya A5.
Kabisa katika hii miaka mitatu Mahiga amefanya mengi kwa nchi hii huko ugenini..kama ni hivyo wamekosea.
..Kabudi ni mbishi, mjuaji, na hana unyenyekevu na usikivu unaohitajika ktk diplomasia.
He is a one man show
Haya maajabu waweza yaona TZ pekee!ni kubadilishana seat, ila ngumu zaidi ni pale aliyesomea diplomasia kupewa wizara ya sheria na aliyebobea kwenye sheria kurushwa kwenye diplomasia, what went wrong na fani zao?
Sent using Jamii Forums mobile app
ndoo baba la baba.He is a one man show