Vip ofisi za mwendo kasi kujengwa jangwani?Vyema sana kimsingi lango kuu la Jiji la Dar linaenda kuwa na mwonekano
Dar Mpya ndio hi
Halafu utakatwa tena kodi lijengwe lingine au unadhani hiyo ofisi wafanyakazi watakaa nje kama weweKama walikiuka sheria libomolewe tu, uchungu wa kulibomoa jengo la TANESCO hauwezi kuufikia ule wa kubomolewa nyumba niliyokuwa na mimi nilijenga kwenye reserve road! Sheria ichukue mkondo wake tu.
Unadhani wakianzisha kodi nyingine hata kama hilo jengo lipo nitaweza kuwazuia, acha wanikate!Halafu utakatwa tena kodi lijengwe lingine au unadhani hiyo ofisi wafanyakazi watakaa nje kama wewe
View attachment 631231
Rais Magufuli leo atembelea Mradi wa Ujenzi wa Barabara za Juu za Ubungo unajulikana kama ‘Ubungo Interchange’.
View attachment 631271
Aidha meagiza kuwa jengo la makao makuu ya Shirika la Uzalishaji na Ugavi wa Umeme nchini TANESCO lililopo eneo hilo pamoja na jengo la wizara ya maji ambalo liko mkabala na jengo la TANESCO, yawekwe alama ya ‘X’ ili yabomolewe kupisha mradi huo.
View attachment 631217
Hapa chini ni ramani ya Barabara ya juu ambayo itajengwa Ubungo Dar es Salaam
View attachment 631218
Barabara ya Morogoro ya Chini kwa magari yanayotokea Kimara Kwenda Mjini
View attachment 631219
Barabara ya juu kwa watu wanaotokea barabara ya Sam Nujoma kuelekea barabara ya Nelson Mandela uelekeo wa Buguruni
Mijadala mingine kuhusu hili jengo soma;
Magufuli! Jengo la TANESCO Ubungo ni kisiki na udhaifu mwingine kwake?
Waziri John Magufuli hili la kuvunja jengo la TANESCO Ubungo tumia busara
Jengo la Makao Makuu ya TANESCO Ubungo kubomolewa wakati wowote kupisha ujenzi wa 'Interchange'
JENGO LA TANESCO NA FLYOVERS, which one's more important?
Magufuli, nakuombea upate Urais na uanze na TANESCO
Unajua kwa muda mrefu serikali zimehangaika kuboresha makazi kwa kuangalia zaidi physical aspects peke yake...
Ila ukitaka mji mzuri ung'ae mpk ukome, boresha hali zawatu.. Ni improved livelihood tu ndio inaleta maendeleo... Mfano kariakoo manzese na Magomeni zinaendelea kunadilika kwa kuwa vipato vya watu vinaendelea kuboreka... Image ya mji inakuja na hali bora za maisha ya watu wake.. Hiyo ndio sustainable development...
Kuvunja jengo ni kukosa ubunifu kwa hao.mainjinia.. Unafanya kazi kwa ubunifu katika mazingira yaliyopo... Cost - Benefit Analysis ni muhimu katika miradi.. Ninauhakika re-designing cost za kipande hicho ni ndogo sana ukilinganisha na Gharama na thamani ya jengo, Gharama za Uvunjaji, Disposal ya Kifusi, ukiachilia mbali gharama za kuhamisha ofisi za serikali na convenience costs zinazotokana na kubadilisha huko.
Sasa hapo huoni utalipia nyumba yako na ujenzi wa jengo jipyaUnadhani wakianzisha kodi nyingine hata kama hilo jengo lipo nitaweza kuwazuia, acha wanikate!
Hswa wanyonge ni wa kudownloadWanyonge wamefuraia sana
Unajua kwa muda mrefu serikali zimehangaika kuboresha makazi kwa kuangalia zaidi physical aspects peke yake...
Ila ukitaka mji mzuri ung'ae mpk ukome, boresha hali zawatu.. Ni improved livelihood tu ndio inaleta maendeleo... Mfano kariakoo manzese na Magomeni zinaendelea kubadilika kwa kuwa vipato vya watu vinaendelea kuboreka... Image ya mji inakuja na hali bora za maisha ya watu wake.. Hiyo ndio sustainable development...
Kuvunja jengo ni kukosa ubunifu kwa hao.mainjinia.. Unafanya kazi kwa ubunifu katika mazingira yaliyopo... Cost - Benefit Analysis ni muhimu katika miradi.. Ninauhakika re-designing cost za kipande hicho ni ndogo sana ukilinganisha na Gharama na thamani ya jengo, Gharama za Uvunjaji, Disposal ya Kifusi, ukiachilia mbali gharama za kuhamisha ofisi za serikali na convenience costs zinazotokana na kubadilisha huko.