Rais Magufuli 2020 ajenge Ruvuma cannel (mfereji) toka Mtwara mpaka Ziwa nyasa, kama Panama na Suez

Sasa nini itakuwa mantiki ya kuishi kwetu hapa duniani jamani ? Ni kama tumekuja kusindikiza wengine tu hapa, ila tusikate tamaa, mimi na wewe, sisi ndo wakuyaanza haya mabadiliko ya kifkra yenye matokeo chanya, tuanze sasa wala sio kesho, tuanze kwa kuamini kwamba tunaweza.

Mkuu sio suala la kuanza, hela ya kula yenyewe inasumbua hapa lazima kwanza uwe na uhakika wa maisha yako kwanza ndio ufuatilie vingine, huwezi kufuatilia vingine katika nchi ya hovyo hivi na kuacha kizazi chako kinaangamia kwa njaa Bro.

Wenzetu huko kuna standards walishaziseti tayari ndio maana unaona kila kitu kinaenda smooth in automatic move. Hakuna anayewaza shule sense vipi, au atapataje elimu bora, hakuna anayewaza atatibiwa vipi, hakuna anayewaza kula na kuvaa. Huku kwetu Bongo hata zile basic need tu ni mziki.

Mazingira yetu yanasababisha hata akili zinakuwa za hovyo tu, ukiwa shule unasoma wakati huohuo unawaza future itakuwaje ukiangalia kizazi chako kwenu huko.
 
Mkuu sio suala la kuanza, hela ya kula yenyewe inasumbua hapa lazima kwanza uwe na uhakika wa maisha yako kwanza ndio ufuatilie vingine, huwezi kufuatilia vingine katika nchi ya hovyo hivi na kuacha kizazi chako kinaangamia kwa njaa Bro.

Wenzetu huko kuna standards walishaziseti tayari ndio maana unaona kila kitu kinaenda smooth in automatic move. Hakuna anayewaza shule sense vipi, au atapataje elimu bora, hakuna anayewaza atatibiwa vipi, hakuna anayewaza kula na kuvaa. Huku kwetu Bongo hata zile basic need tu ni mziki.

Mazingira yetu yanasababisha hata akili zinakuwa za hovyo tu, ukiwa shule unasoma wakati huohuo unawaza future itakuwaje ukiangalia kizazi chako kwenu huko.
Huu ni kwa mtazamo wa juujuu tu, nilimsikiliza mama mmoja kabla ya uchaguzi wa Marekani, yeye alikuwa anatetea uTrump, hoja zake si za msingi hapa ila zinaonesha maisha halisi ya wamarekani. Ana mume na mtoto mmoja, kwa mwezi bima ya afya tu ni m2,hapo bado umeme na mengineyo. Bi Mkubwa amelalama kwamba life ni tafu, kuna kipindi alichoka hakuzilipa na mwanawe akaumwa akampeleka kwenye vituo vya wahamiaji, akatoswa pia. Uchumi wa kifedha uko hivi, kotekote. Kuna mengi ktk uchumi wa kifedha zaidi ya njia ya mabadilishano ya bidhaa. Fedha haijawahi kumtosha yeyote yule.
 
Huu ni kwa mtazamo wa juujuu tu, nilimsikiliza mama mmoja kabla ya uchaguzi wa Marekani, yeye alikuwa anatetea uTrump, hoja zake si za msingi hapa ila zinaonesha maisha halisi ya wamarekani. Ana mume na mtoto mmoja, kwa mwezi bima ya afya tu ni m2,hapo bado umeme na mengineyo. Bi Mkubwa amelalama kwamba life ni tafu, kuna kipindi alichoka hakuzilipa na mwanawe akaumwa akampeleka kwenye vituo vya wahamiaji, akatoswa pia. Uchumi wa kifedha uko hivi, kotekote. Kuna mengi ktk uchumi wa kifedha zaidi ya njia ya mabadilishano ya bidhaa. Fedha haijawahi kumtosha yeyote yule.

Mkuu nashukuru kwa mfano wako mzuri, na ni kweli uko sahihi kwenye suala la fedha kutomtosha mtu popote pale duniani,

Tofauti ya percentage ya umasikini wa watanzania na USA ni kubwa sana mkuu, si kweli kwamba hakuna masikini USA hapana wapo, ila kwa asilimia chache sana, huku kwetu nafikiria ni zaidi ya 70% ya population wakati kwa USA unaweza kukuta ni chini ya 10%. Leo hii huyo mama analalamikia gharama kubwa za bima za afya ila hivyo vituo vya kisasa vya afya wanavyo, wakati huku hata hivyo vituo vyenyewe vya afya hamna na hata kama vipo basi utaambiwa dawa hamna na daktari hayupo...

Kiukweli tunamatatizo mengi ambayo kwa kiasi kikubwa yamesababishwa na wazee wetu, kwa kizazi chetu hiki kuanza kuset tunahitaji kulianzisha upya hili taifa ili tutengeneze akili za kizalendo na kuondoa mawazo ya kibinafsi..
 
Mkuu nashukuru kwa mfano wako mzuri, na ni kweli uko sahihi kwenye suala la fedha kutomtosha mtu popote pale duniani,

Tofauti ya percentage ya umasikini wa watanzania na USA ni kubwa sana mkuu, si kweli kwamba hakuna masikini USA hapana wapo, ila kwa asilimia chache sana, huku kwetu nafikiria ni zaidi ya 70% ya population wakati kwa USA unaweza kukuta ni chini ya 10%. Leo hii huyo mama analalamikia gharama kubwa za bima za afya ila hivyo vituo vya kisasa vya afya wanavyo, wakati huku hata hivyo vituo vyenyewe vya afya hamna na hata kama vipo basi utaambiwa dawa hamna na daktari hayupo...

Kiukweli tunamatatizo mengi ambayo kwa kiasi kikubwa yamesababishwa na wazee wetu, kwa kizazi chetu hiki kuanza kuset tunahitaji kulianzisha upya hili taifa ili tutengeneze akili za kizalendo na kuondoa mawazo ya kibinafsi..
Aksante, lakini pia tulijue hili, shida zimpatazo maskini wa tz zinapimika sawa kwa vipimo sawa na yule wa Marekani.
 
Nianze na definition nini maana ya Cannal (Mfereji)
an artificial waterway constructed to allow the passage of boats or ships inland or to convey water for irrigation
· Those connecting existing lakes, rivers, other canals or seas and oceans.
· Those connected in a city network: such as the Canal Grande and others of Venice Italy; the gracht of Amsterdam, and the waterways of Bangkok.

overviewmap_regular.jpg

angalia Ramani ya mto Ruvuma:

Najua kwa kebehi zetu nitatukanwa na nitapigwa sana Utaambiwa not navigable : wakati watu wanatengeneza Canal sehemu ambayo aina ata maji: . mi naamini kianzio cha maji tunacho cha kuingiza maji kwenye mfereji : Mto Ruvuma .
Utaambiwa not navigable : wakati watu wanatengeneza Canal sehemu ambayo aina ata maji:

ikibidi tutumie ata njia za mto ruvuma kwa kuhamisha kwa muda.



Ni wakati wa kujipanga kuanza uzisha ujenzi wa mfereji wa wa bahari ya indi mpk ziwa nyasa; Huu mfereji uitwe Ruvuma canal

Huu utafungua fursa kwa nchi ya malawi , zambia, congo , angola , maeneo ya juu ya masumbiji , zimbambwe na Burundi.

itakuwa rahisi kutengeneza bandari kavu kubwa Kyela kwa mizigo itakayo pitishwa ziwa tanaganyika na mto Congo unaingia sehemu kubwa ya Congo.

Ushauri wangu kinachotakiwa mradi kama huu wapewe chuo cha ardhi watafute levelling ya toka Mtwara mpaka ziwa Nyasa. Kina cha meli ni mita 10.5 - 30.

kama kila Raisi atachimba kilomita 50. Miaka 50 ijayo kizazi chetu kitatukumbuka. Tufanye kizazi chetu kikute maisha Rahisi.

na uhakika tukianza ujenzi huu tutacreate ajira zaidi ya 1 milioni au 5 milioni.

Picha za ujenzi wa Canal mbalimbali'

C:\Users\user\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image002.jpg


C:\Users\user\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image004.jpg


C:\Users\user\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image006.jpg
C:\Users\user\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image008.jpg
C:\Users\user\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image010.jpg
C:\Users\user\AppData\Local\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image011.jpg
Labda kwa fedha za kuchapisha lakini kama ni za kodi, misaada na mikopo labda miaka 200 ijayo. CCM ni janga.
 
Back
Top Bottom