Moshe Dayan
JF-Expert Member
- Feb 10, 2008
- 815
- 698
Kesho rais jakaya kikwete atawapandisha vyeo maofsa wakuu wa jeshi kwa vyeo vya namna mbili ikulu ya dar es salaam,
Kuna maofsa wakuu 14 watapanda kutoka brigadier generals kua major generals,
Wengine 33 watapanda kutoka vyeo vya u-kanali kuwa brigadier generals..,
mabadiliko haya ni taratibu za kawaida za jeshi na hua zinazingatia vigezo vyote na pia mahitaji ya jeshi ya wakati husika na pia kuongeza ufanisi wa majukumu mbalimbali.
zaidi ya yote, kamanda mtata na mpenda vita brig.gen.(kwa sasa) Chacha Igoti atapanda cheo na kua major general, ikumbukwe huyu ndie aliongoza vita ya ushindi commoro.jioni njema.
Source: MOSHE DAYAN
Kuna maofsa wakuu 14 watapanda kutoka brigadier generals kua major generals,
Wengine 33 watapanda kutoka vyeo vya u-kanali kuwa brigadier generals..,
mabadiliko haya ni taratibu za kawaida za jeshi na hua zinazingatia vigezo vyote na pia mahitaji ya jeshi ya wakati husika na pia kuongeza ufanisi wa majukumu mbalimbali.
zaidi ya yote, kamanda mtata na mpenda vita brig.gen.(kwa sasa) Chacha Igoti atapanda cheo na kua major general, ikumbukwe huyu ndie aliongoza vita ya ushindi commoro.jioni njema.
Source: MOSHE DAYAN