Polisi walioandamana imetosha na wenye Akili wamepata meseji siyo ww kiherehere usiyejielewa. Una akili kama polepoleWanabwekea tu huku Jf na instagram kutoka barabarani hawawezi
Anhaaa! Kweli? Kuna baadhi ya maeneo "kawaibia" Wabunge na Madiwani..Mtaani anapendwa sana. Ajiachie tu afanye kazi zake kwa Uhuru.
ndio ni sifa za kuukwaa uraisi, ubungeUfisadi je?!nao ni sifa?!!
Wanyonge hawana silaha hata wasipokupenda huna shida.Swala kwa nn kujifungia gariniRaisi Magufuli hata akiamua kutembea kwa miguu saa sita ya usiku hakuna mtu atakaye mdhuru, kwa sababu ni raisi anayependwa sana na wanyonge.
Si tungeona maandamano leoyaani unataka wasimlinde raisi kwann??
ww hujui huyu ndiye raisi anayechukiwa sana na RAIA waliomchagua kuliko maraisi wote walowahi kupita???!
HahahahaaaTumuulize mpishi wake labda alikosea menu.
Kwani yalikuwa maandamano ya chademaChadema badala ya kujadili Maandamano Yao Kumbe yalikuwa live kwenye TV kuangalia Sherehe za Muungano
Siku akiweka jiwe la msingi standard gauge ,maeneo ya pugu alipakia watu wapande treni bure la Gongo la mboto !Maandamano yajayo ya kumuunga mkono raisi Magufuli ni lazima yavunje rekodi,yatayafunika haya ya mange na wabeba box waliopinda37 ndio mjue rais Magufuli anapendwa na wanyonge.
Kama baadhi ya wakazi wa Dar wanamchukia raisi Magufuli sio kosa lao,moja ya dalili za tezi dume ni hasira za hapa na pale,kuchukia chukia bila sababu kugombana hadi na TV.Siku akiweka jiwe la msingi standard gauge ,maeneo ya pugu alipakia watu wapande treni bure la Gongo la mboto !
Na yeye jiwe kuwa na hasira za hapa na pale ni dalili za tezidume pia mkuu imhotel?Kama baadhi ya wakazi wa Dar wanamchukia raisi Magufuli sio kosa lao,moja ya dalili za tezi dume ni hasira za hapa na pale,kuchukia chukia bila sababu kugombana hadi na TV.
Tofautisha mtu ambaye yuko serious na mtu mgonjwa,raisi Magufuli yuko serious na jukumu tulilompa sisi wanyonge la kutuletea maendeleo.Na yeye jiwe kuwa na hasira za hapa na pale ni dalili za tezidume pia mkuu imhotel?
Raisi Magufuli hata akiamua kutembea kwa miguu saa sita ya usiku hakuna mtu atakaye mdhuru, kwa sababu ni raisi anayependwa sana na wanyonge.