kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,329
- 12,626
Rais wetu amefurahi sana hatua iliyopigwa na Yanga kwenye mashindano ya CAF hadi akaagiza Yanga wepewe 20m kwa kila goli watakalofunga kwenye fainali na wapewe ndege ya kuwapeleka na kuwarudisha Algeria. Pamoja na hayo amewaagiza TFF kuiongelea vizuri Yanga kuelekea mechi za fainali.
Hapa pa kuiongelea vizuri Yanga kuelekea mechi za fainali ndipo paliponifikirisha sana mm. Nikajiuliza kumbe Mama pia anafahamu kile TFF inachokifanya kwa Yanga? Anajua TFF haiongelei vizuri Yanga? Kumbe Rais wetu ni mwanamichezo kindakindaki!!
TFF jamani msisuburi hadi Rais wa nchi aseme!!! Mama asingeyasema Yale kama yasingekuwepo hapo TFF.
Hapa pa kuiongelea vizuri Yanga kuelekea mechi za fainali ndipo paliponifikirisha sana mm. Nikajiuliza kumbe Mama pia anafahamu kile TFF inachokifanya kwa Yanga? Anajua TFF haiongelei vizuri Yanga? Kumbe Rais wetu ni mwanamichezo kindakindaki!!
TFF jamani msisuburi hadi Rais wa nchi aseme!!! Mama asingeyasema Yale kama yasingekuwepo hapo TFF.