Rais kufanana na hawa maana yake nini?

Rais kufanana na hawa maana yake nini?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,563
Reaction score
57,888
Rais magufuli baada ya kutoka kwa tafiti za twaweza ilionyesha anakubalika kwa asilimia zaidi ya 96%

Sasa maswali ya kujiuliza kwa nini rais wetu ameingia tena kwenye recodi ya dunia kufana na tafiti za marais hawa?

1: Adolf Hitler : Dicteta wa ujerumani alikubalika kwa zaidi ya asilimia 95% kwenye utafiti akiwa madarakani.

1477640398834.jpg


2 : Fidel Castro : Huyu ni Dicteta wa Cuba aliyekuwa na Sera za ujamaa katika utafiti nchini Cuba alikubalika kwa asilimia 97% .
1477640420965.jpg


3: Saddam Hussein : Dicteta wa Iraq alikubalika kwa zaidi ya asilimia 100% kwenye utafiti.

1477640451534.jpg


Paulo Kagame : Dicteta wa Rwanda huyu uchaguzi ulioisha alishinda kwa asilimia 94%

1477640462824.jpg


Robert Mugabe: Dicteta wa Zimbabwe yupo madarakani toka mwaka 1980 alishawai kutangazwa kuwa anakubalika kwa zaidi ya asilimia 90% kwenye utafiti.

1477640487224.jpg


Lakini watu wote hawa walio wengi mwisho wao haukuwa mzuri ,wengine bado wapo lakini mwisho wao hauonekani kuwa mzuri.

Sasa kwanini rais wetu anaingia kwenye record ya kukubalika kama hawa madicteta ? Ishara yake ninini?

Hakuna pahali duniani kwenye nchi ya kidemocrasia ambapo rais anaweza kukubalika kwa zaidi ya 90% hakuna na haijawai tokea .

Sasa kukubalika huku kwa rais wetu hivi maana yake nini?
 
Na watanzania tulivyo waoga ni kusikilizia tu.....
Tutaendelea kusifu kwa mapambio na cheap agenda na watanzania wakakubali wakaona bora liende. Jamaa akimua kutupilia mbali katiba na kujitawalisha ufalme ana uwezo huo na hakuna wa kuhoji zaidi ya kusifu.
 
Tutaendelea kusifu kwa mapambio na cheap agenda na watanzania wakakubali wakaona bora liende. Jamaa akimua kutupilia mbali katiba na kujitawalisha ufalme ana uwezo huo na hakuna wa kuhoji zaidi ya kusifu.
Watanzania tunachohitaji ni mabadiliko ya kweli na maendeleo. Kama suala la kubadili viongozi, mbona hata nguo tunabadili kila siku lakini mwili ni ule ule!
 
Bank account balance. 6.9M sasa ngoja niitafute kilo iliyobakia, I'll be back in no moment
 
Takwimu zinaonesha kuwa mfuasi mmoja kati ya wawili wa CHADEMA ana vidonda vya tumbo vilivyotokana na MAGUFULI kushinda Urais. Wanaumia sana. Yaani huku Twaweza, kule Forbes.
Zisikupe presha zote hizo ni feki. Mbona kikwete alipewa tuzo nyingi hadi nyingine za kivasco Dagama kwani iliwanufaisha nini watanzania.

kwanza tuzo gani zile anashindanishwa na mameneja wa bank, bwana shamba, the people of Rwanda, Rais mmoja wa kike, na wajasiria mali wadogogo nayo hyo ni tuzo kweli.
 
Watanzania tunachohitaji ni mabadiliko ya kweli na maendeleo. Kama suala la kubadili viongozi, mbona hata nguo tunabadili kila siku lakini mwili ni ule ule!
Maendeleo bila utawala bora wa sheria na kufuata taratibu, kanuni na haki ni sawa na kujisumbua tu. watanzania tunataka iwekwe misingi imara ña bora katika kuwaomgoza na kujiletea maendeleo na sio kutawala kwa matakwa na mamuzi ya mtu mmoja.
 
Maendeleo bila utawala bora wa sheria na kufuata taratibu, kanuni na haki ni sawa na kujisumbua tu. watanzania tunataka iwekwe misingi imara ña bora katika kuwaomgoza na kujiletea maendeleo na sio kutawala kwa matakwa na mamuzi ya mtu mmoja.
Mtanuna sana, siye twasema chapa ilale!
Rais magufuli baada ya kutoka kwa tafiti za twaweza ilionyesha anakubalika kwa asilimia zaidi ya 96%

Sasa maswali ya kujiuliza kwa nini rais wetu ameingia tena kwenye recodi ya dunia kufana na tafiti za marais hawa?

1: Adolf Hitler : Dicteta wa ujerumani alikubalika kwa zaidi ya asilimia 95% kwenye utafiti akiwa madarakani.

View attachment 425540

2 : Fidel Castro : Huyu ni Dicteta wa Cuba aliyekuwa na Sera za ujamaa katika utafiti nchini Cuba alikubalika kwa asilimia 97% .
View attachment 425541

3: Saddam Hussein : Dicteta wa Iraq alikubalika kwa zaidi ya asilimia 100% kwenye utafiti.

View attachment 425543

Paulo Kagame : Dicteta wa Rwanda huyu uchaguzi ulioisha alishinda kwa asilimia 94%

View attachment 425544

Robert Mugabe: Dicteta wa Zimbabwe yupo madarakani toka mwaka 1980 alishawai kutangazwa kuwa anakubalika kwa zaidi ya asilimia 90% kwenye utafiti.

View attachment 425546

Lakini watu wote hawa walio wengi mwisho wao haukuwa mzuri ,wengine bado wapo lakini mwisho wao hauonekani kuwa mzuri.

Sasa kwanini rais wetu anaingia kwenye record ya kukubalika kama hawa madicteta ? Ishara yake ninini?

Hakuna pahali duniani kwenye nchi ya kidemocrasia ambapo rais anaweza kukubalika kwa zaidi ya 90% hakuna na haijawai tokea .

Sasa kukubalika huku kwa rais wetu hivi maana yake nini?
 
Rais magufuli baada ya kutoka kwa tafiti za twaweza ilionyesha anakubalika kwa asilimia zaidi ya 96%

Sasa maswali ya kujiuliza kwa nini rais wetu ameingia tena kwenye recodi ya dunia kufana na tafiti za marais hawa?

1: Adolf Hitler : Dicteta wa ujerumani alikubalika kwa zaidi ya asilimia 95% kwenye utafiti akiwa madarakani.

View attachment 425540

2 : Fidel Castro : Huyu ni Dicteta wa Cuba aliyekuwa na Sera za ujamaa katika utafiti nchini Cuba alikubalika kwa asilimia 97% .
View attachment 425541

3: Saddam Hussein : Dicteta wa Iraq alikubalika kwa zaidi ya asilimia 100% kwenye utafiti.

View attachment 425543

Paulo Kagame : Dicteta wa Rwanda huyu uchaguzi ulioisha alishinda kwa asilimia 94%

View attachment 425544

Robert Mugabe: Dicteta wa Zimbabwe yupo madarakani toka mwaka 1980 alishawai kutangazwa kuwa anakubalika kwa zaidi ya asilimia 90% kwenye utafiti.

View attachment 425546

Lakini watu wote hawa walio wengi mwisho wao haukuwa mzuri ,wengine bado wapo lakini mwisho wao hauonekani kuwa mzuri.

Sasa kwanini rais wetu anaingia kwenye record ya kukubalika kama hawa madicteta ? Ishara yake ninini?

Hakuna pahali duniani kwenye nchi ya kidemocrasia ambapo rais anaweza kukubalika kwa zaidi ya 90% hakuna na haijawai tokea .

Sasa kukubalika huku kwa rais wetu hivi maana yake nini?
14639632_1398572143488117_7328409284695471983_n.jpg
 
Zisikupe presha zote hizo ni feki. Mbona kikwete alipewa tuzo nyingi hadi nyingine za kivasco Dagama kwani iliwanufaisha nini watanzania.

kwanza tuzo gani zile anashindanishwa na mameneja wa bank, bwana shamba, the people of Rwanda, Rais mmoja wa kike, na wajasiria mali wadogogo nayo hyo ni tuzo kweli.
Bado kuja kushindanishwa na Diamond, Mzee Majuto na Kingwendu kujua nani maarufu.
Hapo ndio utaona watu wa Lumumba wanavyo hamasishwa kupiga kura kwa wingi
 
Back
Top Bottom