simba45 mkali
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,980
- 1,881
Na jinsi njaa ilivyo kali alivifakamia kama hakuna kesho. Nadhani ndio kaamka na hangover leo.jana ulikuwa lumumba unakula vitu
Na jinsi njaa ilivyo kali alivifakamia kama hakuna kesho. Nadhani ndio kaamka na hangover leo.jana ulikuwa lumumba unakula vitu
Nchi hii inapenda sifa za kijinga kweli. Yaani wanatanzania badala ya kuahamasishana maendeleo tunahamasishana kumpigia kura mkulu kwenye kashindano kadogo vile kama ni mimi kiukweli ningekataa hako katuzo ni aibu mkuu. Tena katuzo chenye utakuwa karibia 2/3 ya wapiga kura ni watanzania maanake wengine hawana time nalo.Bado kuja kushindanishwa na Diamond, Mzee Majuto na Kingwendu kujua nani maarufu.
Hapo ndio utaona watu wa Lumumba wanavyo hamasishwa kupiga kura kwa wingi
Duuuh mkuu kuna shida pahali si bureule urafiki na mabaka ya kijani unatia shaka
Kama wew hujafilisika Peleka kazifungulie Account bank! Maana wewe mufilisi na ndo maana hufurukuti ubabaki kulalama kama mtoto wa kondoo! Hebu zitumie basi hizo zako tusikuone unalalamika humu tena! Maana walionazo wanabuni njia mbadala na wanawin, Wewe zimekusaidiaje?Huko ni kufilisika kwa kufikiri kama ndio ulichokuwa unakiwaza.
Povuuuuu...!!Kama wew hujafilisika Peleka kazifungulie Account bank! Maana wewe mufilisi na ndo maana hufurukuti ubabaki kulalama kama mtoto wa kondoo! Hebu zitumie basi hizo zako tusikuone unalalamika humu tena! Maana walionazo wanabuni njia mbadala na wanawin, Wewe zimekusaidiaje?
Kwanza ni tuzo za kiuni hizo Forbes toka lini wakawa na mambo serious?Nchi hii inapenda sifa za kijinga kweli. Yaani wanatanzania badala ya kuahamasishana maendeleo tunahamasishana kumpigia kura mkulu kwenye kashindano kadogo vile kama ni mimi kiukweli ningekataa hako katuzo ni aibu mkuu. Tena katuzo chenye utakuwa karibia 2/3 ya wapiga kura ni watanzania maanake wengine hawana time nalo.
Alafu watu wamejawa misifa eti rais wetu anakubalika njee. Huu ni upuuzi na kumshushia rais hadhi kwa kumshindanisha na mameneja wa saccos na mahakimu tena labda unaweza kukuta ni hakimu wa mahakama ya mwanzo. Kiukweli hawajamtendea haki.Kwanza ni tuzo za kiuni hizo Forbes toka lini wakawa na mambo serious?
Wakina Lihanna na mwenzie ndio uonekana kwenye cover za magazine hiyo
Mkuu mbona umekaa kirushwarushwa ?Bank account balance. 6.9M sasa ngoja niitafute kilo iliyobakia, I'll be back in no moment
Ha ha haNgoja niangalie salio langu benki kabla sijachangia kitu hapa.
Rais magufuli baada ya kutoka kwa tafiti za twaweza ilionyesha anakubalika kwa asilimia zaidi ya 96%
Sasa maswali ya kujiuliza kwa nini rais wetu ameingia tena kwenye recodi ya dunia kufana na tafiti za marais hawa?
1: Adolf Hitler : Dicteta wa ujerumani alikubalika kwa zaidi ya asilimia 95% kwenye utafiti akiwa madarakani.
View attachment 425540
2 : Fidel Castro : Huyu ni Dicteta wa Cuba aliyekuwa na Sera za ujamaa katika utafiti nchini Cuba alikubalika kwa asilimia 97% .
View attachment 425541
3: Saddam Hussein : Dicteta wa Iraq alikubalika kwa zaidi ya asilimia 100% kwenye utafiti.
View attachment 425543
Paulo Kagame : Dicteta wa Rwanda huyu uchaguzi ulioisha alishinda kwa asilimia 94%
View attachment 425544
Robert Mugabe: Dicteta wa Zimbabwe yupo madarakani toka mwaka 1980 alishawai kutangazwa kuwa anakubalika kwa zaidi ya asilimia 90% kwenye utafiti.
View attachment 425546
Lakini watu wote hawa walio wengi mwisho wao haukuwa mzuri ,wengine bado wapo lakini mwisho wao hauonekani kuwa mzuri.
Sasa kwanini rais wetu anaingia kwenye record ya kukubalika kama hawa madicteta ? Ishara yake ninini?
Hakuna pahali duniani kwenye nchi ya kidemocrasia ambapo rais anaweza kukubalika kwa zaidi ya 90% hakuna na haijawai tokea .
Sasa kukubalika huku kwa rais wetu hivi maana yake nini?
Ukiwa na ufinyu wa mawazo na usie na uelewa wowote kuhusu uongozi ni dhahiri unastahili kuwa na mawazo kama yako, tafsiri halisi ya maendeleo unaifahamu??Watanzania tunachohitaji ni mabadiliko ya kweli na maendeleo. Kama suala la kubadili viongozi, mbona hata nguo tunabadili kila siku lakini mwili ni ule ule!
Nani alikuwa anampa hayo mavituz? raha kweli the people of Lumumba.jana ulikuwa lumumba unakula vitu
Manake ni dikteta kama waoRais magufuli baada ya kutoka kwa tafiti za twaweza ilionyesha anakubalika kwa asilimia zaidi ya 96%
Sasa maswali ya kujiuliza kwa nini rais wetu ameingia tena kwenye recodi ya dunia kufana na tafiti za marais hawa?
1: Adolf Hitler : Dicteta wa ujerumani alikubalika kwa zaidi ya asilimia 95% kwenye utafiti akiwa madarakani.
View attachment 425540
2 : Fidel Castro : Huyu ni Dicteta wa Cuba aliyekuwa na Sera za ujamaa katika utafiti nchini Cuba alikubalika kwa asilimia 97% .
View attachment 425541
3: Saddam Hussein : Dicteta wa Iraq alikubalika kwa zaidi ya asilimia 100% kwenye utafiti.
View attachment 425543
Paulo Kagame : Dicteta wa Rwanda huyu uchaguzi ulioisha alishinda kwa asilimia 94%
View attachment 425544
Robert Mugabe: Dicteta wa Zimbabwe yupo madarakani toka mwaka 1980 alishawai kutangazwa kuwa anakubalika kwa zaidi ya asilimia 90% kwenye utafiti.
View attachment 425546
Lakini watu wote hawa walio wengi mwisho wao haukuwa mzuri ,wengine bado wapo lakini mwisho wao hauonekani kuwa mzuri.
Sasa kwanini rais wetu anaingia kwenye record ya kukubalika kama hawa madicteta ? Ishara yake ninini?
Hakuna pahali duniani kwenye nchi ya kidemocrasia ambapo rais anaweza kukubalika kwa zaidi ya 90% hakuna na haijawai tokea .
Sasa kukubalika huku kwa rais wetu hivi maana yake nini?
Si unaona kalazimisha mafao ya watu yajenge viwanda kupitia kufuta fao la kujitoaMkuu unaona mbali sana jamaa ana kaelement ya hawa wengine muda sio mrefu utasikia katiba imepinduliwa na jamaa kujitawalisha wa milele.
Ile miezi miwili aliyohaidi mwenyekiti wenu bado haijaisha au alikuwa ana taniaa?Takwimu zinaonesha kuwa mfuasi mmoja kati ya wawili wa CHADEMA ana vidonda vya tumbo vilivyotokana na MAGUFULI kushinda Urais. Wanaumia sana. Yaani huku Twaweza, kule Forbes.
Mkuu hata hao sio kwamba walikubalika hivyo Bali ni Twawezeshwa zao....Simlisema wenyewe twaweza ni utafiti wa mwedo kac leo mmeuamini utafiti wao nakuanza kuufanyia ulinganisho hahahaha kazi mnayo
Sio tabu mkuu ilimladi amani ipo na nia ya dhati ya kutuletea maendeleo na atawale milele tu kama kumbukumbu zako ziko sawa hiyo anayeitwa dikteta no. 1 Hitler msome kuanzia 1933 mpaka 1937 ujerumani ilikuwaje na utuletee mrejesho hapa.Mkuu unaona mbali sana jamaa ana kaelement ya hawa wengine muda sio mrefu utasikia katiba imepinduliwa na jamaa kujitawalisha wa milele.