Wana JF nimetazama taarifa ya habari ya TBC leo saa 2usiku nimeona Rais wa Burundi Pierre Nkulunziza akishiriki ujenzi wa jengo la Ofisi ya mkuu wa mkoa nchini humo na inaelezwa kuwa hii ni sehemu ya utaratibu wake wa kila wiki kushiriki moja kwa moja katika shughuli za kijamii kwa lengo la kurudisha moyo wa kizalendo.
Mnalionaje hili? na kama ingekuwa hapa kwetu unapendekeza Rais ashiriki shughuli zipi?
Mnalionaje hili? na kama ingekuwa hapa kwetu unapendekeza Rais ashiriki shughuli zipi?