Rais Kikwete Ziarani Japani

Rais Kikwete Ziarani Japani

Wa kusoma

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2011
Posts
3,454
Reaction score
2,984
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo jioni anatarajiwa kuwasili nchini japani kushiriki mkutano wa tano wa maendeleo ya Afrika-TICAD V
 
Basi ujue huku nyuma litatokea la kutokea, maana ndiyo kawaida kila akisafiri!
Ni wapi, ninini, linamgusa nani, kwanini, muda gani....stay tuned!
 
UuuuuuuuuuWiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Nchi inafilisiwaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!! Anaunguza pesa zote hizi na wakati huo huo anaomba msaada wa Walimu kutoka Jamaika!!!!!???? Hizo pesa anazo tumia kutembea hovyo si tungeweza kusomesha walimu wa kutosha jamani!!

Hiyo ITIKAFU haija fanya kazi jamani?
 
Basi ujue huku nyuma litatokea la kutokea, maana ndiyo kawaida kila akisafiri!
Ni wapi, ninini, linamgusa nani, kwanini, muda gani....stay tuned!

Leo kuna hatari itatokea huyu jamaa akisafiri tu watanzania tumbo joto.tusali na kuomba lisitokee
 
UuuuuuuuuuWiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Nchi inafilisiwaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!! Anaunguza pesa zote hizi na wakati huo huo anaomba msaada wa Walimu kutoka Jamaika!!!!!???? Hizo pesa anazo tumia kutembea hovyo si tungeweza kusomesha walimu wa kutosha jamani!!

Hiyo ITIKAFU haija fanya kazi jamani?

huna hoja, rais anapisafiri kukutana na marais wenzake wa nchi kubwa km japan ilyopiga hatua kubwa kimaendeleo, kuna mengi anatuletea kama taifa.
 
UuuuuuuuuuWiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Nchi inafilisiwaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!! Anaunguza pesa zote hizi na wakati huo huo anaomba msaada wa Walimu kutoka Jamaika!!!!!???? Hizo pesa anazo tumia kutembea hovyo si tungeweza kusomesha walimu wa kutosha jamani!!

Hiyo ITIKAFU haija fanya kazi jamani?
Nyie nendeni mkatumie ruzuku ya chama chenu kwenye maandamano yasiyo na tija.
 
Wana Jf,

Kuna njia nyingi sana za kufanya mazungumzo hata kufikia makubaliano mfano simu, teleconference, e mail, skype nk. Mtu aweza tumia njia hizi unless mazungumzo yawe ya siri sana yanayohitaji kuongea ana kwa ana.

Hivi gharama ya safari hii ya Japani inaweza kuwa kiasi gani?

Anyway: My next stop: Russia.
 
Wana Jf,

Kuna njia nyingi sana za kufanya mazungumzo hata kufikia makubaliano mfano simu, teleconference, e mail, skype nk. Mtu aweza tumia njia hizi unless mazungumzo yawe ya siri sana yanayohitaji kuongea ana kwa ana.

Hivi gharama ya safari hii ya Japani inaweza kuwa kiasi gani?

Anyway: My next stop: Russia.

Usisahau kuna mwingine yuko China anatanua na mke wake, japokuwa kisiwa chake sio nchi lkn sijui kaenda huko kama mkuu wa mkoa au nani.
 
Anasinzia tu kwenye hiyo mikutano hana lolote analofanya
 
itakuwa safari ya ngapi hii?
kuna thired hapa Jf ilikuwa inaorodhosha safari za mr fast jet sijui upo wapi wakuu
 
Usisahau kuna mwingine yuko China anatanua na mke wake, japokuwa kisiwa chake sio nchi lkn sijui kaenda huko kama mkuu wa mkoa au nani.


Kaenda kama mtalii mwenye diplomatic passport!!!!

Ukiwa CCM ubongo unadumaa na kuvunda na kujikuta yanafanyika ya kushangaza ambayp yatatetewa na watu wa ovyo wenzao!!!
 
Nakumbukuka humu jamvini kuna mkuu alikuwa anatoa "updates" za idadi ya safari. Naomboa atusaidie zimefika ngapi sasa hivi? Bila kusahau kamchanganuo kake!!!
 
Mheshimiwa ameambatana na ujumbe wa watu wangapi kwenye msafara wake?
 
huna hoja, rais anapisafiri kukutana na marais wenzake wa nchi kubwa km japan ilyopiga hatua kubwa kimaendeleo, kuna mengi anatuletea kama taifa.
Ndivyo unavyofikiri eeh!



Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom