Sasa jamani sio kwamba kila safari ya Raisi tunaikosoa!! Nyingine zinamantiki.
Inajenga mahusiano mazuri na nchi husika wakijua kuwa Tanzania tupo nao pamoja katika kipindi kugumu walichonacho.
Unakumbuka hayati Mwl JK alinyofariki!? Ilikuwa inafariji kuona maraisi na viongozi maarufu waliohudhuria msiba ule.
Unachotaka watu wakufanyie, na wewe wafanyie hicho hicho!
Ukizingatia tunaelekea vitani ina bidi marafiki tuwakumbatie...lolSasa jamani sio kwamba kila safari ya Raisi tunaikosoa!! Nyingine zinamantiki.
Inajenga mahusiano mazuri na nchi husika wakijua kuwa Tanzania tupo nao pamoja katika kipindi kugumu walichonacho.
Unakumbuka hayati Mwl JK alinyofariki!? Ilikuwa inafariji kuona maraisi na viongozi maarufu waliohudhuria msiba ule.
Unachotaka watu wakufanyie, na wewe wafanyie hicho hicho!
Sasa jamani sio kwamba kila safari ya Raisi tunaikosoa!! Nyingine zinamantiki.
Inajenga mahusiano mazuri na nchi husika wakijua kuwa Tanzania tupo nao pamoja katika kipindi kugumu walichonacho.
Unakumbuka hayati Mwl JK alinyofariki!? Ilikuwa inafariji kuona maraisi na viongozi maarufu waliohudhuria msiba ule.
Unachotaka watu wakufanyie, na wewe wafanyie hicho hicho!
Haoni mwenzake obama anamuachia clinton hiyo kazi na yeye angemuachia membe ili na yeye apate experience. Yaani ata attend misiba ya viongozi wote wa africa?!! Huo ni ulimbukeni
kwani ilikuwa lazima aende yeye? Hana wawakilishi? Au tungetuma delligate tungeonekana hatuko pamoja na watu wa ghana?
subirini kuna wizara ya misiba inaundwa!