Voice of Wisdom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 537
- 240
hivi wamasai pekee yao ndo walikuwa wahanga wa ukame? Vp kuhusu wakulima? Au kuna mkakati wa kuwafidia wakulima walioadhirika?
Ukienda Monduli huwezi kamwe kupita Karatu
Zenawi kafa kweli?
HABARI ZA SASA IVI KABISA
Mheshimiwa raisi wa Jamuhuri wa Mungano wa Tanganyika na Zanzibar -JK.....Yupo Karatu saa hii anaelekea monduli kutoa ng'ombe kwa wamasai wale waliokufa kwa ajili ya ukame mwake ule wa kampeni. watu wengi balaa nimeshindwa kupiga picha.
source mimi mwenyewe niko eneo la tukio.
Ukienda Monduli huwezi kamwe kupita Karatu
Ukienda Monduli huwezi kamwe kupita Karatu
Dah!!! Siku hizi kununua KULA shurti kwa ng'ombe!!!! Kazi ipo 2015.