Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Hongera sana JK kwa kutimiza ahadi.
Kugawa ng'ombe ilikuwa ahadi? hizi akili zilizoshikwa na Nape zina matatizo sana, kila wanasifia ili mradi mvute posho pale Lumumba kwa kumfurahisha Nape kuwa mmepost JF