SILENT ACtOR
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 627
- 181
Nafuatilia hotuba ya rais wenu JK, anatoa historia ya uchumi TZ tangu enzi za uhuru. Eti uchumi umekua kwa asilimia 7 ikilinganishwa na malengo ya asilimia 8.
Anajitahidi kusisitiza kuwa hali ngumu ya uchumi haikuanza leo, kwa mfano anasema "Miezi 18 ambayo mwalimu alitangaza tufunge mikanda ikawa miaka 18, mambo yakaharibika kweli kweli!"
Mpaka sasa haoneshi serikali yake itafanya nini kuboresha hali ila anasema wazungu wanatusifu kwelikweli. Anasema mfumuko wa bei umeshuka!
My take: huku kurudiarudia historia ni dalili za kutaka huruma ili kuficha udhaifu wake na serikali yake.
Anyway ngoja niendelee kutazama.
Anajitahidi kusisitiza kuwa hali ngumu ya uchumi haikuanza leo, kwa mfano anasema "Miezi 18 ambayo mwalimu alitangaza tufunge mikanda ikawa miaka 18, mambo yakaharibika kweli kweli!"
Mpaka sasa haoneshi serikali yake itafanya nini kuboresha hali ila anasema wazungu wanatusifu kwelikweli. Anasema mfumuko wa bei umeshuka!
My take: huku kurudiarudia historia ni dalili za kutaka huruma ili kuficha udhaifu wake na serikali yake.
Anyway ngoja niendelee kutazama.