huyu jamaa muongo tume maliza mwaka sasa home bila kazi.. soon wadogo zetu wanatu join. sasa izo ajira ziko wapi??Mpango wa kwanza wa miaka mitano umekamilika katika kufikia lengo la 2025, vipaombele:-
1. Kukuza vyanzo vya uchumi
2. Kutumia raslimali na mikakati katika kukuza
3. Ajira zinaongezeka kwa kasi zaidi hasa kwa vijana
Hivi anahutubia bunge au ameamua tu kujitokeza kuuza sura kwenye TV? Ningekukuwa naanglia hiyo TV ninge mpiga na jiwe hapohapo kwenye TV!
sio bilioni, ni trilion 14, acha kupotosha, sikiza kwa makini mkuu.bilioni!!!
Kama vile hizi kelele za mlango zinakaribia kumnyima usingizi mwenye nyumba!Awapiga kijembe CDM, kwa lawama na kuuza sura twenye TV, kulalamikia kila kitu.
Anadai CDM wanafanya maandamano nchi nzima kutukana, hahaha nimeipenda hii,
Mpango wa kwanza wa miaka mitano umekamilika katika kufikia lengo la 2025, vipaombele:-
3. Ajira zinaongezeka kwa kasi zaidi hasa kwa vijana
Hata hivyo hesabu ni janga la Taifa.
Mkuu Bilion au trilion?
Trilion